Wale Mnaotuponda Watumiaji wa Tecno....

Wale Mnaotuponda Watumiaji wa Tecno....

Sio utani brother...

Yani ni camera na nikiwa mahali kwenye wifi ndo naweza kuitumia. Ila tecno yangu ni ile C8 so camera yake ni fairly good...

d506a7b6f6edb711daf155d53ad332d3.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya teknolojia hayo mkuu...nashangaa tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna mkuu, wengine tupo samsung za kawaida tu hizi version za J

Kiukweli kama sina hela ya kununua samsung ni heri nitumie kitorch ila sio tecno.

Ila siwezi mdharau mtumiaji wa tecno maana heshima haipimwi kwa vitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini huwezi tecno mpaka useme ni heri uwe na kitochi?
 
Kwa mnaotumia Tecno poleni kwa matatizo haya..
1- unapokea msg kutoka tigo, basi kila utakapowasha simu msg hiyo hiyo inaingia...
2- unafuta msg leo, kesho unazikuta zote...
3- simu yako mpya leo inapiga picha quality kabisa after 3months camera inapoteza ubora..
4-.................... nk.

Nyie ni wavumilivu kwakweli, ninaimani mwanamke anayetumia Tecno kwa miaka 2 tu, anaweza kuvumilia changamoto za kwenye ndoa kwa miaka mingi sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mnaotumia Tecno poleni kwa matatizo haya..
1- unapokea msg kutoka tigo, basi kila utakapowasha simu msg hiyo hiyo inaingia...
2- unafuta msg leo, kesho unazikuta zote...
3- simu yako mpya leo inapiga picha quality kabisa after 3months camera inapoteza ubora..
4-.................... nk.

Nyie ni wavumilivu kwakweli, ninaimani mwanamke anayetumia Tecno kwa miaka 2 tu, anaweza kuvumilia changamoto za kwenye ndoa kwa miaka mingi sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli. Nina Tecn mwaka wa nne sijaona hilo tatizo.
 
Tecno haha am sorii!






Mahondaw wa Smart911
Hata uwe na iphone8 sijui s7 mlipuko, s8 unanizidi nini mimi mwenye l8. Napenda kumbukumbu, camera kali mpaka picha yenye mb3, na bei pungufu saana. Ndo maana ya uchumi: high production with lesser resources. Hakuna kinachofanywa kwenye S8 ambacho siwezi fanya kwa l8.
Endeleeni kuwatajirisha wanaume wenzio huku mkijisfia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini pia inategemeana unatumia Samsung ipi...hayo wanayoyaita ma samsung J series na yenyewe matecno tu,wanatofautiana vitu vichache sana....mpango ni Note and S series

by emma mjasiriamali
 
Back
Top Bottom