miccah Michael
Member
- Aug 21, 2017
- 13
- 6
ipo ya laki saba wewe inaitwa tecno camon cx Manchester cityElfu ishirini unapata tecno,na simu zao za bei hazizidi laki 7 hata itoke leo na iwe na kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani siipendi siipendi siipendi!!Kwanini huwezi tecno mpaka useme ni heri uwe na kitochi?
Tecno jina zuri mkuu hadi msanii wa kinaija kaiga hilo jina!
Punguza hasira mwana[emoji23] [emoji23]Navunja tecno yangu[emoji35] [emoji35]
Hata Nokia/Samsung/LG za 20,000/- zipo mbona hazidharauliki?
Lakini pia inategemeana unatumia Samsung ipi...hayo wanayoyaita ma samsung J series na yenyewe matecno tu,wanatofautiana vitu vichache sana....mpango ni Note and S series
by emma mjasiriamali
Duh sawaaYaani siipendi siipendi siipendi!!
Ukiniuliza sababu ntashindwa kujibu maana sina sababu yoyote ya kutoipenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
na phantom six plus yenye mp 80 iuzwe shngap?, hiyo cx huku 280
Oh kumbe!Techno imesajiliwa kwa ajili ya soko la Africa tu. Haina viwango vya kuuzwa ulaya na America
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] fvck you...!!Iphone and Samsung are coke and Pepsi while tecno is Fursana [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Heshima kwako madamKuna watu wanamiliki tecno+nyumba +gari+biashara/kazi.
Wengine wanamiliki iPhone+room 1ya kupanga+dudanga/ubabaishaji+ kulalamika kazi/mtaji hamna maisha ni magumu.
NB life is how you make it
Sent using Jamii Forums mobile app