Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Na maamuzi yao yatakuongoza miaka mingine mi5 ijayo wewe uliye na kichwa🤣🤣🤣🤣Lile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.
Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!
Pathetic!!
Naangalia Clouds TV Kanda ya Serengeti wote kura kwa Tundu LissuLile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.
Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!
Pathetic!!
Akina Sendeka wape pilau na bia, kifuatacho ni NDIO na kutikisa viunoLile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.
Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!
Pathetic!!
Kabisa.Lile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.
Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!
Pathetic!!
Povu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na hapo ndipo ninapoipa Ph D ya heshima CCM kwa jinsi inavyoweza kuendesha mambo yake Huku wakiyaacha majinga majinga, yasiyojua chochote, yakikimbilia mitandaoni humu na kuanzisha vimada uchwara kama hv vya kujifanya wanajua ilihali wanaungua jua.
Sikiliza we bwege, CCM Ina vichwa mpaka CIA na MOSSAD, achilia mbali HAVARD huko; unachokiona kinatokea pale basi jua brains zilishakaa na kufanyia kazi vya kutosha kabisa. CCM sio hako kasaccos kenu kisichokuwa na Kuta imara......mpumbavu yeyote anaweza kuja na, akiweza kubwabwaja tu, anapewa nafasi nzito ya maamuzi.
ModeratorLile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.
Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!
Pathetic!!
Wapi nimetaja CCM!! Kaa kwa kutulia.Na hapo ndipo ninapoipa Ph D ya heshima CCM kwa jinsi inavyoweza kuendesha mambo yake Huku wakiyaacha majinga majinga, yasiyojua chochote, yakikimbilia mitandaoni humu na kuanzisha vimada uchwara kama hv vya kujifanya wanajua ilihali wanaungua jua.
Sikiliza we bwege, CCM Ina vichwa mpaka CIA na MOSSAD, achilia mbali HAVARD huko; unachokiona kinatokea pale basi jua brains zilishakaa na kufanyia kazi vya kutosha kabisa. CCM sio hako kasaccos kenu kisichokuwa na Kuta imara......mpumbavu yeyote anaweza kuja na, akiweza kubwabwaja tu, anapewa nafasi nzito ya maamuzi.
Umepaniki!!
PawUmepaniki!!
🤣🤣🤣🤣Wapi nimetaja CCM!! Kaa kwa kutulia.
Kama kweli ni hilo basi litakuwa kwa ajili ya kusafisha takatakaPovu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣