Wale nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko wale mabwana waliokutana Idodomia na kufanya maamuzi kama watu waliokatwa vichwa

Wale nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko wale mabwana waliokutana Idodomia na kufanya maamuzi kama watu waliokatwa vichwa

Lile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.

Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!

Pathetic!!
Wewe acha basi 🤣🤣
20250120_213651.jpg
 
Kweli mwananchi anapata Raw deal kulinganisha na Kodi yake inayotumika kama Ruzuku..., sio mbaya huku JF, Kitaa na kwenye Vijiwe vya Gahawa kama haya ndio yatakuwa mazungumzo baada ya habari.

Lakini sitashangaa hata hao so called alternative hizi ndio zitakuwa story zao badala ya issue at hand (and there are a lot of those to digest); Welcome to Politics of attack and Survival, rather than being champions of the Downtrodden....
 
Lile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.

Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!

Pathetic!!
Katiba wameandika wenyewe, na wavunja wenyewe, yakuwashia nini makalio wewe ??
 
Lile tukio la pale Idodomia majuzi limenifanya nione kumbe nyumbu wa serengeti wana akili na maarifa kuliko lile kundi la watu wazima waliokutana Idodomia hivi karibuni.

Yaani nyumbu pamoja na ujinga wao wote, wakitaka kuvuka mto mara kwenda upande wa pili, walau hujaribu kutafakari kidogo juu ya hatari ya kukamatwa na mamba kabla ya kuvuka. Lakini wale mabwana pale Idodomia wala hawakuumiza vichwa kutafakari kabla ya kufanya maamuzi, wote wakaingia katika mkumbo na kufanya maamuzi mazito na muhimu kama watu waliokatwa vichwa!!

Pathetic!!
YAANI UKIONA WATU 1000 WAMEFANYA MAAMUZI HALAFU WEWE PEKE YAKO NDIYO UKAONA UKO SAHIHI JUWA KUWA HUNA AKILI UNAJIFARIJI TU
 
Walinikata stimu nilipoona nyumbu wanaanza kuimba na kudansi.. Nikazkma chaneli zote, nikatafuta vichekezo vya mkude na bwakila nisikilizi huku natafuta usingizi
 
Back
Top Bottom