Wale samaki wa Hayati Magufuli walikuwa watamu sijapata ona

Sasa hivi huku ziwa Victoria wanavuliwa samaki wenye size ya kulingana na ubo* hawana ladha Wala nini,samaki wakubwa wote wamemalizwa kutokana na kusafirishwa ulaya,wazawa tunaishia kula mapanki na kulipwa sh 3000 kutwa ya kuparua samaki.maafisa uvuvi ndio wameneemeka kutokana na rushwa.NCHI IMEJAA WASHENZI SANA
 
TCU mnaombwa kuongeza viwango vya Ufaulu kwa Universities... kutoka DD mbili hadi CC mbili kama miaka ya nyumA... vijana wengi wanaodahiliwa Vyuo vikuu hawana uwezo wa kuchambua Mambo...
Samaki ni watamu. Chambua?
 
Samaki wa baharini wana radha tofauti na maji baridi hao Chuchunge,Tasi, blue fish na pia wakikaangwa na mafuta hawashiki chini wanatoka kama walivyo ni watamu sana huku Chuga tunatembelea kucha ya 1Kg kwa Tsh 10,000....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…