😂ikiwezekana wote walitafuna ile minofu wapigwe donation ya kufidia kidogo hasara kwa nchi😂😂Unajua mliisababishia nchi hasara kiasi gan ninyi na jamaa yenui?Muanze kutubu haraka kabla hatujaomba transcriptions zenu tuzifanyie utundu.
Kabisa.Halafu bila aibu anaelezea ulaini wa minofu ilivyokuwa kwa siku kadhaa.Huyu vipi huyu?😂ikiwezekana wote walitafuna ile minofu wapigwe donation ya kufidia kidogo hasara kwa nchi😂😂
Vyenu?Unaelewa ni fedha kiasi gani zililipwa kutokana na mtu mmoja kukurupuka na kukamata yasiyomuhusu?Wewe namna gani vipi?Hivi unajiita "mabula"?Ndiyo maana!TUtubu kwa kula vyetu ?
Wewe huwa ni lijinga mwili mzima.Unaishi maporini hadi hujui yanayoendelea.Tutajie hiyo hasara ewe kasuku wa mabeberu
Samaki ni watamu. Chambua?TCU mnaombwa kuongeza viwango vya Ufaulu kwa Universities... kutoka DD mbili hadi CC mbili kama miaka ya nyumA... vijana wengi wanaodahiliwa Vyuo vikuu hawana uwezo wa kuchambua Mambo...
Hao manesi uchwara. Sisi tumesoma chuo kinatambulika hadi kuletewa samaki.Mmejazana mitaani kama kumbikumbi na vyuo vyenu vya uchochoroni