Wale team kataa ndoa sio wanaume tu hadi wanawake pia wapo

Nyaubikra

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
1,339
Reaction score
3,319
Your browser is not able to display this video.

Hiko kipande cha video hapo juu nimekitoa huko twitter.

Sasa huyu binti akutane na mjumbe wa JF huku ambaye hataki ndoa sijui itakuaje hilo penzi(mahusiano).

Tukae mbali na mafeminist wakuu.
 
View attachment 2542362
Hiko kipande cha video hapo juu nimekitoa huko twitter.

Sasa huyu binti akutane na mjumbe wa JF huku ambaye hataki ndoa sijui itakuaje hilo penzi(mahusiano).

Tukae mbali na mafeminist wakuu.
Kibongo bongo hakajaona, inaonekana kameona nje ya Bongo (which is also okay).

Haka wala siyo Kataa ndoa Gang, ni Mashauzi Gang. Ni kalimbukeni flani hivi kanahisi kenyewe ni kamtu ka muhimu sana hapa Tz.

Kanaitwa ka nani kwanza?
 
Kibongo bongo hajaona, inaonekana ameona nje ya Bongo (which is also okay).

Huyu wala siyo Kataa ndoa Gang, ni Mashauzi Gang. Ni kalimbukeni flani hivi kanahisi kenyewe ni kamtu ka muhimu sana hapa Tz.

Kanaitwa ka nani kwanza?
Sikajui ila kusema anakosa uhuru ndy kauli tata hyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…