Wale 'Team Mungu Mtu Chama' niambieni leo amecheza nini dhidi ya Coastal Union FC kwa Mkapa?

Umeongea kweli aisee!!! Ila wachache wanaoujua mpira ndio watakuelewa
 
Yaani hivyo mnavyoparuana sisi utopolo Huwa tunapata raha sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Simba Sc hakuna mungu mtu kama Mayele wenu..

Hatutaki ile kelele ya No Chama, No Assist, No goal!
 
Hapa unataka kuaminisha jamii mtazamo wako dhidi ya kocha robetinho ila tambua Kila timu lazima iwe key player iwe ameamka vzr au vibaya uwepo wake tu ni ushindi tosha, chama atabaki km alivyo na aina ya uchezaji wake ni taratibu ila aina ya pasi zake na upunguzaji wake presha uwanjan ndio muhimu zaidi,
 
Kuleta makocha katikati mwa musimu wa ligi athari zake ndizo hizi. Tusimlaumu Chama peke yake . Angalia timu nzima walivyocheza . Ni utumbo mtupu

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…