Wale tuliokimbilia kununua viwanja Chato baada ya kuahidiwa mkoa je tuelekee utete kununua tena baada ya kuahidiwa kua mkoa?

Wale tuliokimbilia kununua viwanja Chato baada ya kuahidiwa mkoa je tuelekee utete kununua tena baada ya kuahidiwa kua mkoa?

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Wale hustlers
Mnakumbuka baada ya tetesi Chato kua mkoa tulinunua viwanja vya beach bei Kali,
Leo hii maeneo Yale yameshika hata wa kukupa milioni moja eneo la beach hayupo,
Sasa na utete twende tukanunue au tupapotezee maana haya mambo huchanganya Sana
Utete unakwenda kuzaa mkoa WA rufiji baada ya ya 2025 je tuelekee huko kununua maeneo au titapigwa hasara kama ya Chato ambapo tumebaki tunakodisha eneo kwa 40000 kwa mwaka wakati tulinunua bei kubwa ?
Huyu mchengerwa hawezi kutuongiza chaka kama ilivokua Chato?
 
Kitaalamu tunaita Speculation au Predatory Market Practice........

Unanunua huduma/bidhaa ya msingi kwa bei chee ukitegemea mfumuko wa bei ukusaidie kurudisha hiyo pesa yako.......

Kiufupi nyumba ni za kuishi na siyo kutumika kama kitegauchumi kikuu.........

Hebu fikiri watu wengi na serikali wangejenga majumba ya mabilioni kwa ajili ya upangishaji wakitegemea watu watakuja kuishi halafu wasije kama ilivyo leo hii, madhara makubwa kwa watu wa Chato na wawekezaji............​
 
Kitaalamu tunaita Speculation au Predatory Market Practice........

Unanunua huduma/bidhaa ya msingi kwa bei chee ukitegemea mfumuko wa bei ukusaidie kurudisha hiyo pesa yako.......

Kiufupi nyumba ni za kuishi na siyo kutumika kama kitegauchumi kikuu.........

Hebu fikiri watu wengi na serikali wangejenga majumba ya mabilioni kwa ajili ya upangishaji wakitegemea watu watakuja kuishi halafu wasije kama ilivyo leo hii, madhara makubwa kwa watu wa Chato na wawekezaji............​
Watu wanajua trading pekee ndio scam.
This is life is all about trading since anything can happen at anytime at anywhere without or out if your conscious
 
Kitaalamu tunaita Speculation au Predatory Market Practice........

Unanunua huduma/bidhaa ya msingi kwa bei chee ukitegemea mfumuko wa bei ukusaidie kurudisha hiyo pesa yako.......

Kiufupi nyumba ni za kuishi na siyo kutumika kama kitegauchumi kikuu.........

Hebu fikiri watu wengi na serikali wangejenga majumba ya mabilioni kwa ajili ya upangishaji wakitegemea watu watakuja kuishi halafu wasije kama ilivyo leo hii, madhara makubwa kwa watu wa Chato na wawekezaji............​
Chato nilikutupuka nikanunua ekari tano za ziwani kabisa Leo wanalima mahindi kwa 40k kwa ekari ndio nauliza na utete twende au tusikilizie kidogo
 
Wale hustlers
Mnakumbuka baada ya tetesi Chato kua mkoa tulinunua viwanja vya beach bei Kali,
Leo hii maeneo Yale yameshika hata wa kukupa milioni moja eneo la beach hayupo,
Sasa na utete twende tukanunue au tupapotezee maana haya mambo huchanganya Sana
Utete unakwenda kuzaa mkoa WA rufiji baada ya ya 2025 je tuelekee huko kununua maeneo au titapigwa hasara kama ya Chato ambapo tumebaki tunakodisha eneo kwa 40000 kwa mwaka wakati tulinunua bei kubwa ?
Huyu mchengerwa hawezi kutuongiza chaka kama ilivokua Chato?
HAPANA, SASA HIVI MUELEKEE KIZIMKAZI, PATAKUWA JIJI, AHSANTE.
 
Kitaalamu tunaita Speculation au Predatory Market Practice........

Unanunua huduma/bidhaa ya msingi kwa bei chee ukitegemea mfumuko wa bei ukusaidie kurudisha hiyo pesa yako.......

Kiufupi nyumba ni za kuishi na siyo kutumika kama kitegauchumi kikuu.........

Hebu fikiri watu wengi na serikali wangejenga majumba ya mabilioni kwa ajili ya upangishaji wakitegemea watu watakuja kuishi halafu wasije kama ilivyo leo hii, madhara makubwa kwa watu wa Chato na wawekezaji............​
Speculation is everything in business. Lazima kuwa mjanja kuliwa ni.rahisi sana..MTu akitaka.kuuza.bidhaa.lazima aongeze mwembwe na kutengeneza shortage or unavailability ili watu mkurupuke.

Wale wa mtwara kwemye gas vepe..ni Bora MTU ukanunua maeneo Kwa akili zako mwenyewe siyo Kwa mipango ya serikali utakuja kulia siku moja
 
Wale hustlers
Mnakumbuka baada ya tetesi Chato kua mkoa tulinunua viwanja vya beach bei Kali,
Leo hii maeneo Yale yameshika hata wa kukupa milioni moja eneo la beach hayupo,
Sasa na utete twende tukanunue au tupapotezee maana haya mambo huchanganya Sana
Utete unakwenda kuzaa mkoa WA rufiji baada ya ya 2025 je tuelekee huko kununua maeneo au titapigwa hasara kama ya Chato ambapo tumebaki tunakodisha eneo kwa 40000 kwa mwaka wakati tulinunua bei kubwa ?
Huyu mchengerwa hawezi kutuongiza chaka kama ilivokua Chato?
Chato bado ni potential mkuu jengeni nyumba haiozi.kajengeni mahoteli huko mbeleni Chato itakuwa mahali sahihi kwa uwekezaji
 
Back
Top Bottom