Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Nakuelewa sana bro .
Hakika unahitaji nibadilike na wish sana ila sasa pombe ndugu yangu nitaanza kuiacha taratibu maana kwa haraka haraka sitaweza

Ni kweli shemeji yako ananivumilia tu kwa vile ananipenda vile nilivyo japo sasa umri wangu umeenda kiasi cha kuwa nahisi anawaza hata akiniacha ataenda wapi sasa zaidi atakuwa anajidharirisha .
Bro Kuna ujumbe wako pm, ni dawa nzuri sana
 
Watoto wengi wa ushuani wanakuwaga vilaza Sana shuleni 😂

Huwaga wanajua kwao pesa ipo tayari kwa hiyo hawakuwagi serious Sana na masomo.

NB: Sijasema wote wanakuwaga vilaza ila wengi wao.
 
Ndugu marehemu baba yangu alikuwa ana matumizi makubwa ya pombe, hivyo niliona athari zake. Ukiona tabu sana, basi ni pm namba yako tuwe tuna share hizo story zakoo na utaacha
Pombe sio mbaya Tatizo lipo Kwa mtu mwenyewe...over drinking na tabia za ajab ajab....

Wengi humu ndani wanakunywa ila wanajali familia zao, wanasomeasha, wanafanya ujenzi, biashara, Kazi na mambo yanaenda powaa........

Nilipata nafasi ntasimulia visa kadhaa hapa...
 
Kama umenitumia sms inbox sijakujibu usiwaze nitakujib muda wowote

Nina sms nying sana najib Moja baada ya nyingine kiusahihi sitaki nijibu kwa haraka nisije kuonekana nalinga.

Kwa wale mnaotaka msaada wa kipesa nitapima kulingana na maelezo ya mtu wengine ni wagonjwa wamelazwa hao lazima tuwape kipaumbele, lakin kama unadanganya utajua mwenyewe.

Pia wale mnaotaka connection muwe wapole nitatekeleza matakwa yenu kwa uzuri unaositahil

Nitatoa msaada kadri ninavyoguswa

Ukisema kiasi furan ukaona nimetoa nusu ushukru pia, siyo kuongeza malalamiko na shida zingine. Ahsante
Mwamba una upendo sana , ila hautaweza kusaidia wote . Hongera kwa hilo bro.
 
Kama umenitumia sms inbox sijakujibu usiwaze nitakujib muda wowote

Nina sms nying sana najib Moja baada ya nyingine kiusahihi sitaki nijibu kwa haraka nisije kuonekana nalinga.

Kwa wale mnaotaka msaada wa kipesa nitapima kulingana na maelezo ya mtu wengine ni wagonjwa wamelazwa hao lazima tuwape kipaumbele, lakin kama unadanganya utajua mwenyewe.

Pia wale mnaotaka connection muwe wapole nitatekeleza matakwa yenu kwa uzuri unaositahil

Nitatoa msaada kadri ninavyoguswa

Ukisema kiasi furan ukaona nimetoa nusu ushukru pia, siyo kuongeza malalamiko na shida zingine. Ahsante
Watu kama nyinyi ni rarely sanaa....
 
Niliwah kutoroka nikaenda kwa rafiki yangu kwao maisha ya kawaida wakanipa chakula niliharisha sitasahau Hadi nikapelekwa hospital usiku wazaz wa rafiki yangu wakakamatwa na urafiki wetu ukaishia hapo, nisamehe bwana Simon popote ulipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wewe bado huwajui watoto wa kishua. ni wale ambao madini au mamaza wao ni washua, yaani kwanza wana mpunga wa kutosha kuwafanyia chochote watoto wao, pili wanalindwa mno wasichangamane na hawa wa kajambanani wasijeugua matumbo au magonjwa waliyonayo masikini, wasijeonekana wachafu, wasije kuwa na tabia za kishamba. ni wakuishi kwenye getikali kama broliers. watoto hawajui shida, hawajui kutafuta, hawajawahi kulala njaaa. kama ni kusomesha shule international usijezichanganya na hizo za english medium ukasema ni international. international ni ziel wanafanya mitihani ya cambridge, ada yao ni milioni 20 na kuendelea huko. sasa sijui huyu panya aliyeleta mada alisoma International school of tanganyika wanakolipa milioni 70 kwa mwaka au ndo walewale wanaojiona wakishua kumbe pyuuuuu
Yaani wewe unaweza kujuwa kutafuta pesa kukiko mtoto aliyelelewa na watafutaji pesa?

Wangekuwa si watafutaji usingethubutu kuwaita "wakishua".
 
Haya sasa,

Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.

Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.

View attachment 2503537
katafute jukwaa la watoto wenzio. Maskini mkubwa.
 
Kuna watu wanaleta makasiliko Yao kwa watoto wa KISHUA kisa wao siyo wa KISHUA huna haja ya kuwa na hasira na sisi wa KISHUA tengeneza connection huenda ukapata vitu usivyovitarajia kwenye maisha yako kwa bei ndongo au hata Bure kutoka kwetu.

Mwaka furani nilikuwa naenda sehem ya mbali nikadodosha namba ya gar wakati wa kurud nikaikuta Iko kwenye kizuiz furan aliyeiokota kaacha namba juzi mtoto wa aliyeiokota kaja kwenye mishe zake kafikia kwangu Hapa dar kawa kama ndugu tu Sasa hivi namfanyie michongo ya pesa nying ambayo hajawah kuwaza ataishika

Wazaz wanabaki kunipigia sim kunishukru
Acheni makasiliko jaman.
Huna lolote misifa tu imekujah

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Changamoto nyingine ya kuwa mtoto wa KISHUA ni kupendwa na watu kinafiki, kipindi Bado Niko kijana ilikuwa ukipita sehem watu wanakuomba omba Hela unawapa siku hujawapa ni nongwa tu na ukipita bila kuwapa hi ni kosa watakusema mpka kwa Mzee.
Ila ww big... Acha uzushi eti ujawapa pesa wanaenda kukusema Hadi mzeee hv unawajuwa wakishua nn

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom