Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Yaani wewe unaweza kujuwa kutafuta pesa kukiko mtoto aliyelelewa na watafutaji pesa?

Wangekuwa si watafutaji usingethubutu kuwaita "wakishua".
utaelewa hili nililolisema kama ukiangalia kama wazazi wao walizaliwa na kukulia ushuani au walipambana na kuchomoza from uswaz. watoto wa kishua wengi wanahitaji msaada na ukaribu sana, hata uongozi hawajui,wanachowaza wao ni kwenda ulaya tu, na wakifika kule wanakuwa useless kwasababu bado ni second class tu kule.
 
Mwanangu umeongea kitu kikubwa mno. Mimi kwenye mapambano yangu kwenda nje nikagundua mgahawa wa Macdonald's ni kwa ajili ya wale wasio na hela. Ila ukitaka vyakula vya kiafrika ni bei mbaya. Hawa wa kishua wanaoona KFC ni pa maana bado ni washamba mno.
hata McDonalds wakijia kufungua mgahawa wao hapa bongo, utaona watoto wa wanaojifanya wa kishua wanajaa pale kupakia vyakula vya harakaharaka. kumbe mavyakula yale yananenepesha balaa,wenye hela ulaya hawali vyakula hivyo.
 
Ninavyokumbuka,watoto wengi waliokuwa wakishua walikuwa maboya sana.Kuonewa kila mara.Wapowapo tu kujiliza mamaaaa,mwalimuuuu!😜😜😜😜
 
utaelewa hili nililolisema kama ukiangalia kama wazazi wao walizaliwa na kukulia ushuani au walipambana na kuchomoza from uswaz. watoto wa kishua wengi wanahitaji msaada na ukaribu sana, hata uongozi hawajui,wanachowaza wao ni kwenda ulaya tu, na wakifika kule wanakuwa useless kwasababu bado ni second class tu kule.
Msaada upi wautake kwako? Labda kuwafungia nyuzi za viatu.
 
Haya sasa,

Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.

Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.

View attachment 2503537

Mpaka la saba bado una ogeshwa🥸
Huo ni utahira walahi [emoji35]
 
Niliwah kutoroka nikaenda kwa rafiki yangu kwao maisha ya kawaida wakanipa chakula niliharisha sitasahau Hadi nikapelekwa hospital usiku wazaz wa rafiki yangu wakakamatwa na urafiki wetu ukaishia hapo, nisamehe bwana Simon popote ulipo.
Nimecheka sana 😂😂 kweli we wakishua
 
Niliwah kutoroka nikaenda kwa rafiki yangu kwao maisha ya kawaida wakanipa chakula niliharisha sitasahau Hadi nikapelekwa hospital usiku wazaz wa rafiki yangu wakakamatwa na urafiki wetu ukaishia hapo, nisamehe bwana Simon popote ulipo.
CHAAAAIIIIII[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuishi kwenye familia ya KISHUA changamoto nyingine ni kwamba mtoto wa KISHUA mara nyingi unakuwa mtu legelege.

Nakumbuka niliwah kwenda kijijini likizo Niko la tatu tukakutana na watoto wa maisha ya kawaida tukawa tunacheza Mpira.


Cha ajabu wale wajinga walikuwa hawana viatu lakin ukikutanisha nao miguu ww unaumia nilichoka.

Mpka leo Huwa sielew wale watu walikuwa na miguu gan.
 
Mimi najuta sababu nimeharibiwa future yangu na huu upuuzi .

Nimekulia dasalam sehemu ya ushuani hasa zama hizo za baba wa taifa , nikasoma nje baada ya mzee kupelekwa huko nje .

Nikala kitabu mpaka nikapata proffession yangu huku mzee akiwa bado yuko ofisini .

Tukazaliwa wawili mimi na sister yangu sikujua kupika wala kufua sio mimi tu hata dada yangu .

Nikalelewa kizungu ujinga ukanijaa nikahitimu masomo nikala kazi mapema sana hapa bongo , ushenzi ukaanza pale kazini nilipokutana na majungu nikawa mtu wa kufyumu na kupotezea namaanisha nimeacha kazi mara sita ya saba haitotokea maana mzee ashatangulia mbele za haki nikijiroga yatanikuta [emoji3]

Nilianza kunywa pombe nikiwa na miaka kumi na nne , leo hii pombe imenighalimu sana yaani kwasasa nimepelekwa vijijini sana kisa pombe kuzidi kazini mpaka nhamishiwa vijijini kama adhabu .

Mzee hakunijenga kama mwanaume ili niweze kuendeleza mali zake , kadanja kamuacha bi mkubwa naye bi mkubwa baadae kadanja hivi navyoongea sina mali ya mzee niliyorithi zaidi ya elimu tu na gari lake la kitambo na nyumba hiyo ya ushuani (nayo sister naona kama vile ataiuza alafu mimi aniteme maana naye mtata tu )

Ukiniuliza hata sielewi maana mama alisema sijui ni nini basi nimeishia tu kuwaona ujombani wakiwa na maisha bora baada ya mama kufa hivyo najua walichukua kila kitu .

Sina maisha ya kuungaunga ila sasa nawaza ningeandaliwa misingi ya kuwa mwanaume kweli basi hata leo ningekuwa na mali nyingi ila ndiyo hivyo nimebaki kupaangalia nyumbani tu kama mgeni maana hata kwa kwenda sijui ni wapi ujombani au kwa akina baba maana mimi siwaelewi na wao hawanielewi sababu wazazi hawakuwa na ukaribu na ndugu zao kabla ya kifo yaani ule ukaribu wa sisi labda kamsalimie bibi mara uncle hayo hayakuwepo

Sijui kufua wala kupika na umri huu wa sitini kasoro .
Ngono nimeanza kufanya na miaka kumi na mshua alikuwa anajua ila anaishia kusema be care .

Oyaa ngoma nimepona tu kwa vile wazungu wengi ngoma hawana sio kama hapa kwetu .

Nilileta ukishua vijijini kwa watu nikaozeshwa ndoa ya mkeka [emoji3] na sasa niko na mwanamke ila ukiniuliza niliwahi kuwaza kuoa sijui hata kama hilo wazo liliwahi nijia .

Naishi kwa akili za mwanamke maana yeye ameyajua madhaifu yangu hivyo kadi ya benki na mahitaji ya kiume yote utoa yeye baada ya kuninyang'anya kadi ya benki baada ya kunishtaki kwa wakubwa .

Kutokuwekewa misingi ya maisha halisi yalivyo kumenifanya baada ya mzee kufariki nijichanganye sana na jamii ya watoto wa uswazi yaani Keko , Tandika , Temeke , Mwananyamala , Mburahati huniambii chochote na hunidanganyi chochote .

Sijaambulia maarifa ya maisha zaidi walinifunza kuvuta bangi na mwisho wakawa machawa wangu ila sasa nilishawatema .

Nakunywa pombe mpaka sijielewi na kuacha nawaza japo sio leo [emoji848]

Ni nyumba tu iliyoko huko ushuani ndiyo natamba nayo kuwa hapa ndiyo kwetu ila ushua wa kwetu changanya na uzungu basi nilikuwa kama mbwa wa kisasa aliyekosa matunzo baada ya wazee kutangulia .

Nachofurahia kazi ninayoifanya naipenda japo kabla sijalewa nikilewa wewe pita kule .

Nipende kuwaasa wazazi na walezi , uwe na hela usiwe na hela pambana sana umlee mtoto katika mazingira ambayo yanaendana na jamii itakayomzunguka wewe ukiwepo na usipokuwepo .

Uzungu ukizidi mtoto unamuharibu leo ukiwepo na kesho usipokuwepo .

Nawasalimu wanangu wa nguvu advocate Pascal Mayalla , kaka mkubwa GENTAMYCINE , mkubwa mdukuzi bila kumsahau mwamba Abiola
Umeandika kwa Hisia Sana mkuu Japo sijakuona ila Katika COMMENT ZOTE YAKO INAFUNDISHA SANA
 
Back
Top Bottom