Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Bro Kuna ujumbe wako pm, ni dawa nzuri sanaNakuelewa sana bro .
Hakika unahitaji nibadilike na wish sana ila sasa pombe ndugu yangu nitaanza kuiacha taratibu maana kwa haraka haraka sitaweza
Ni kweli shemeji yako ananivumilia tu kwa vile ananipenda vile nilivyo japo sasa umri wangu umeenda kiasi cha kuwa nahisi anawaza hata akiniacha ataenda wapi sasa zaidi atakuwa anajidharirisha .
Dah ndugu umetishaBro Kuna ujumbe wako pm, ni dawa nzuri sana
Dah ndugu umetisha
Nitabadilika maana sasa nimenangwa na wengi ila wewe sasa mpaka nimejionea aibu.
Kama Kuna sawa ya kuacha pombe naomba Tag tumsaidie brother angu mmoja.....That's what iam talking about, usiruhusu uzembe uliokukuta ujirudie kwa mwanao, please bro jitahidi uwe mzazi bora. Dawa zipo za kuacha pombe, Tena ntakutafutia bureee
Nikupongeze Kwa kua real...hongera sana brotherDah ndugu umetisha
Nitabadilika maana sasa nimenangwa na wengi ila wewe sasa mpaka nimejionea aibu.
Pombe sio mbaya Tatizo lipo Kwa mtu mwenyewe...over drinking na tabia za ajab ajab....Ndugu marehemu baba yangu alikuwa ana matumizi makubwa ya pombe, hivyo niliona athari zake. Ukiona tabu sana, basi ni pm namba yako tuwe tuna share hizo story zakoo na utaacha
Mwamba una upendo sana , ila hautaweza kusaidia wote . Hongera kwa hilo bro.Kama umenitumia sms inbox sijakujibu usiwaze nitakujib muda wowote
Nina sms nying sana najib Moja baada ya nyingine kiusahihi sitaki nijibu kwa haraka nisije kuonekana nalinga.
Kwa wale mnaotaka msaada wa kipesa nitapima kulingana na maelezo ya mtu wengine ni wagonjwa wamelazwa hao lazima tuwape kipaumbele, lakin kama unadanganya utajua mwenyewe.
Pia wale mnaotaka connection muwe wapole nitatekeleza matakwa yenu kwa uzuri unaositahil
Nitatoa msaada kadri ninavyoguswa
Ukisema kiasi furan ukaona nimetoa nusu ushukru pia, siyo kuongeza malalamiko na shida zingine. Ahsante
Watu kama nyinyi ni rarely sanaa....Kama umenitumia sms inbox sijakujibu usiwaze nitakujib muda wowote
Nina sms nying sana najib Moja baada ya nyingine kiusahihi sitaki nijibu kwa haraka nisije kuonekana nalinga.
Kwa wale mnaotaka msaada wa kipesa nitapima kulingana na maelezo ya mtu wengine ni wagonjwa wamelazwa hao lazima tuwape kipaumbele, lakin kama unadanganya utajua mwenyewe.
Pia wale mnaotaka connection muwe wapole nitatekeleza matakwa yenu kwa uzuri unaositahil
Nitatoa msaada kadri ninavyoguswa
Ukisema kiasi furan ukaona nimetoa nusu ushukru pia, siyo kuongeza malalamiko na shida zingine. Ahsante
Sijaona KIBURI hapo Kaka... nimeona nukta (point) ya "athari ya malezi"Ukiacha kuwekewa misingi pia wewe mwenyewe ulizingua KIBURI ndio kimekuangusha
Kuna mtoto wa kike wa baba yangu mkubwa raia wa U.A.E aliolewa kwa mahari ya million 70 lakini alirudushwa kwao sababu alikuwa hajui kupika hata chai.Ni upendo wa kijinga sana
Unakuta mtoto ni wa kike lakini wazazi hawapendi apike hata kufua nguo zake,sasa mtu kama huyu unamuandaa kuwa tegemezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliwah kutoroka nikaenda kwa rafiki yangu kwao maisha ya kawaida wakanipa chakula niliharisha sitasahau Hadi nikapelekwa hospital usiku wazaz wa rafiki yangu wakakamatwa na urafiki wetu ukaishia hapo, nisamehe bwana Simon popote ulipo.
Yaani wewe unaweza kujuwa kutafuta pesa kukiko mtoto aliyelelewa na watafutaji pesa?wewe bado huwajui watoto wa kishua. ni wale ambao madini au mamaza wao ni washua, yaani kwanza wana mpunga wa kutosha kuwafanyia chochote watoto wao, pili wanalindwa mno wasichangamane na hawa wa kajambanani wasijeugua matumbo au magonjwa waliyonayo masikini, wasijeonekana wachafu, wasije kuwa na tabia za kishamba. ni wakuishi kwenye getikali kama broliers. watoto hawajui shida, hawajui kutafuta, hawajawahi kulala njaaa. kama ni kusomesha shule international usijezichanganya na hizo za english medium ukasema ni international. international ni ziel wanafanya mitihani ya cambridge, ada yao ni milioni 20 na kuendelea huko. sasa sijui huyu panya aliyeleta mada alisoma International school of tanganyika wanakolipa milioni 70 kwa mwaka au ndo walewale wanaojiona wakishua kumbe pyuuuuu
Huyo aliyemuoa alikuwa anataka mke au mpishi?Kuna mtoto wa kike wa baba yangu mkubwa raia wa U.A.E aliolewa kwa mahari ya million 70 lakini alirudushwa kwao sababu alikuwa hajui kupika hata chai.
Sijajua wenyewe, ila tu alirudishwa kwao sababu hyo ikiwa mojawapo. Sasa inawezekana pia kuna sababu nyinginezo.Huyo aliyemuoa alikuwa anataka mke au mpishi?
Sababu za kweli huwa zinafichwa. Inaweza kuwa ni za wa kiume.Sijajua wenyewe, ila tu alirudishwa kwa sababu hyo ikiwa na manufaa. Sasa unaweza pia kuna sababu nyinginezo.
katafute jukwaa la watoto wenzio. Maskini mkubwa.Haya sasa,
Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.
Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.
View attachment 2503537
Huna lolote misifa tu imekujahKuna watu wanaleta makasiliko Yao kwa watoto wa KISHUA kisa wao siyo wa KISHUA huna haja ya kuwa na hasira na sisi wa KISHUA tengeneza connection huenda ukapata vitu usivyovitarajia kwenye maisha yako kwa bei ndongo au hata Bure kutoka kwetu.
Mwaka furani nilikuwa naenda sehem ya mbali nikadodosha namba ya gar wakati wa kurud nikaikuta Iko kwenye kizuiz furan aliyeiokota kaacha namba juzi mtoto wa aliyeiokota kaja kwenye mishe zake kafikia kwangu Hapa dar kawa kama ndugu tu Sasa hivi namfanyie michongo ya pesa nying ambayo hajawah kuwaza ataishika
Wazaz wanabaki kunipigia sim kunishukru
Acheni makasiliko jaman.
Ila ww big... Acha uzushi eti ujawapa pesa wanaenda kukusema Hadi mzeee hv unawajuwa wakishua nnChangamoto nyingine ya kuwa mtoto wa KISHUA ni kupendwa na watu kinafiki, kipindi Bado Niko kijana ilikuwa ukipita sehem watu wanakuomba omba Hela unawapa siku hujawapa ni nongwa tu na ukipita bila kuwapa hi ni kosa watakusema mpka kwa Mzee.