Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Kuna wale ambao kutokana na sababu mbali mbali hatukupata kulelewa na mama zetu wazaz bali tulilelewa na mama zetu wa kufikia yaan wa kambo
Mimi nimelelewa na mama wa kambo aisee yaan kila day ilikuwa na kichapo had tumekuja kukua ndo tukaanza kuvimba vimba lakin tumekula kichapo sana
Ninachoshuru yule mama kumbe alikuwa anatupa akili pasipo yeye kujua maana yeye alikuwa anajua anatutesa
LONDON BABY
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Kuna wale ambao kutokana na sababu mbali mbali hatukupata kulelewa na mama zetu wazaz bali tulilelewa na mama zetu wa kufikia yaan wa kambo
Mimi nimelelewa na mama wa kambo aisee yaan kila day ilikuwa na kichapo had tumekuja kukua ndo tukaanza kuvimba vimba lakin tumekula kichapo sana
Ninachoshuru yule mama kumbe alikuwa anatupa akili pasipo yeye kujua maana yeye alikuwa anajua anatutesa
LONDON BABY