Kwa ubish , ujeur na kiburi n tabia ya mtu sema mambo ya common n ving'ang'anizWabishiii...viburii...jeuriiii
From dating experience.
Msemaji asiwe kama yule wa njombeNdio, wale wanaume tuliooa wanawake wafupi tujuane tupeana changamoto za Hawa viumbe na ikiwezeka tuanzishe chama chetu cha wanaume waliooa wanawake wafupi Tanzania (chawawata) tuwe na mwenyekiti wetu na msemaji wetu karibuni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hayana ukweliWakuu naskia Wana wivu sana alafu ni waongeaji sana je yanaukweli wakuu!
Kamavile kweliiNi wachafu na 90% ndio wanaloga watu!