Niliuanza mwaka kwa malengo ya kuacha pombe. Haukuisha mwezi nikaendelea. Nikijiwekea lengo kujenga vyumba kupangisha, ikaja mipango mingine mingi, nikaachana na ujenzi. Nikapanga kuongeza ng'ombe wa maziwa shambani kutoka 11 hadi 20, ndio kwanza wamebaki 3. Sijui nimekwamaje. Hebu na nyie wenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app