Hahahahahaha nilisoma st.Thomas Aquinas igunga uliitwa pumbu jero, ila nashukuru sikuupata na kwa wasichana sikumbuki fresh ila uliwatesa kuzidi hata wanaume na shule ilikuwa mixture
Kuna dawa fulani maji ya kijani ivi aiseeeee ukipaka ile unaweza jikuta umetokea assembly uchi wa mnyama kwa jinsi inavyouma baada ya hapo P inakauka na ngozi inababuka heeeee heeee usiombe msimu ule maana bweni linakua na harufu fulani ivi na hakuna wa kumcheka mwenzie.