Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee! Siku ya kwanza nashangaa pumbu linachanika nikasema ni nini hiki.Hatari sn...pumbu hata likigusa paja unalia
...dah ww jamaa una kipaji cha utunzi wa story aseeeeee ongeraaAiseee! Siku ya kwanza nashangaa pumbu linachanika nikasema ni nini hiki.
Kuoga huwezi kupaka sabuni kunako pumbu. Hii ngoma huwezi vaa boxer inayobana
Inaitwa white field lotion hiyo hatari ukipaka baadae magamba yanaanza kutoka.Kuna dawa fulani maji ya kijani ivi aiseeeee ukipaka ile unaweza jikuta umetokea assembly uchi wa mnyama kwa jinsi inavyouma baada ya hapo P inakauka na ngozi inababuka heeeee heeee usiombe msimu ule maana bweni linakua na harufu fulani ivi na hakuna wa kumcheka mwenzie.
Alafu ile iansababishwa na maji ua chumvi pumbu linaliwa ngozi yote linakuwa kama mtoto wa panya mwenye siku mbili. Mademu walikuwa wanajikuna kinoma anajidai kama anachomekea shati anajikuna fasta anakaushaPumbu Erosion ni shida sana.
Ukiwa na vuga ndio tabu zaidi. Usiombe litokee wakati wa joto hutavaa boxer wala nguo ya ndani
Mzumbe Kulikuwa na pumbu erosion pia haswa Mkwawa(1,4) na Mirambo kwa sababu ya chupi kutokukauka vizuri. Mzumbe kuna miti mingi.Kuna ule ugonjwa Mzumbe unaitwa Zongweliasis Mzumbeata... Yan sura inavimba utadhani ulivamiwa na majambazi na kupewa kipondo.