Wale tuliosoma boarding mnakumbuka kipindi kilichoitwa "Pumbu erosion "?

Wale tuliosoma boarding mnakumbuka kipindi kilichoitwa "Pumbu erosion "?

Kuna dawa fulani maji ya kijani ivi aiseeeee ukipaka ile unaweza jikuta umetokea assembly uchi wa mnyama kwa jinsi inavyouma baada ya hapo P inakauka na ngozi inababuka heeeee heeee usiombe msimu ule maana bweni linakua na harufu fulani ivi na hakuna wa kumcheka mwenzie.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unanikumbusha Pugu Boy.
 
Alafu ile iansababishwa na maji ua chumvi pumbu linaliwa ngozi yote linakuwa kama mtoto wa panya mwenye siku mbili. Mademu walikuwa wanajikuna kinoma anajidai kama anachomekea shati anajikuna fasta anakausha
[emoji23] [emoji120] [emoji23] [emoji120] [emoji23] [emoji23]
 
Umenikumbusha mbali sana kipindi nipo o level Ndala sekondari shinyanga aisee si tulikuwa tunauita PUMBU DISEASE yaani pumbu linatoka ngozi linakuwa jekundu hatari mi nliugua nikawa navaa bukta halafu natoa pumbu nje ndo navaa suruali ya shule aisee huu ugonjwa ni mateso.
 
eeh nia njema sec tulikuwa tunaielewa hio kitu kwa jina la pumbu jero,,,,
nakumbuka wa kidato cha nne walikuwa wanapenda kulala deka ya juu ili walale uchi kaupepo kaingie vizuri ,,,
 
La saba mie nijulie wapi hayo mambo ya boarding poumbou erosion?? Embu tiririkeni nijue ukoje huu ugonjwa na kama ukinipata nijue nafanyaje wakuu
Kaka yangu wew mvulagizi
 
Ukija kwenye harufu sasa!Balaa zaidi Mavuluvuza yote yalikuwa yanabadili rangi yanakuwa ya njanoooo.Pumbu inabanduka kama chapati iliyokosewa kukandwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] yeuwiiii
 
Hiyo kitu ni hatari, inatafuna Pumbu sijawahi kuona.

Ila ikiisha pumbu linakuwa jipya kabisa. Linang'aaa alafu soft kinyama. Hahahahaha!...

Unatembea kama umetoka kukatwa. Daah!.
Nakuona kwenye ubora wsko
 
Dah fungus kwa wadada ina sababisha ***K*** kutoa harufuu kama ya maiti
 
Dah fungus kwa wadada ina sababisha ***K*** kutoa harufuu kama ya maiti
 
Back
Top Bottom