king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,033
Ww umejuaje poumbou erosion kama ni ugonjwa? Wakati mwanzilishi wa uzi hajasema km ni ugonjwa. FungukaLa saba mie nijulie wapi hayo mambo ya boarding poumbou erosion?? Embu tiririkeni nijue ukoje huu ugonjwa na kama ukinipata nijue nafanyaje wakuu
sasa si wadau wanasema unaharibu ikulu ndogo mkuu...Ww umejuaje poumbou erosion kama ni ugonjwa? Wakati mwanzilishi wa uzi hajasema km ni ugonjwa. Funguka
Mkuu hiyo dawa ya kijani ipo kwenye kichupa hivi kidogo chembamba kirefu.Ukiipaka lazima uchuchumae ili Pumbu zipigwe upepo angalau dk 2. Baada ya siku kama mbili ngozi ya pumbu inatoka kama unavyomenya ndizi.Kuna dawa fulani maji ya kijani ivi aiseeeee ukipaka ile unaweza jikuta umetokea assembly uchi wa mnyama kwa jinsi inavyouma baada ya hapo P inakauka na ngozi inababuka heeeee heeee usiombe msimu ule maana bweni linakua na harufu fulani ivi na hakuna wa kumcheka mwenzie.
Mkuu hiyo dawa ya kijani ipo kwenye kichupa hivi kidogo chembamba kirefu.Ukiipaka lazima uchuchumae ili Pumbu zipigwe upepo angalau dk 2. Baada ya siku kama mbili ngozi ya pumbu inatoka kama unavyomenya ndizi.
2011-2013 HGLBOY hiyo Kantalamba ya miaka ipi hiyo?