Ukivaa flana ndani jamaa wanakuvua pasipo kuvua shati .wanaivuta. Hapo ndo utajua. Ukitoka hapo kola ya t shirt haifai inabidi ukaitupe.
sasaiv shift moja tuHapo kwenye lebo ilikuwaga noma
Lebo ya kijani iliitwa shifti one
Njano shift two
Mi nilikuwa na shati mbili lebo tofauti nikitaja kutoroka bavadili tu shati
Siku hizi bado kuna shift?
Wanatumia lebo moja tu ?
Kombha ni marehemu kwasasa
Umenikumbusha mbali sana au kushukia pale nimekumiss sana ulipotelea wapiKumbe wote tumesoma pale
Enzi zetu saa ya kutoka tukikuwa haturuhusiwi kupanda gari pake shuleni ni kupiga "kwata" tu hadi Mwenge
Babu side yupo lord baden na kipinguWakina babu side
Mimi nishawahi kupelekwa ofisini na Afande mmoja hivi Kapteni ana macho ya kibangibangi nikaambiwa nivue mbele ya walimu wa jinsia zote halafu sasa kifua kina vinyoya flani hivi nilimind kichiziUkivaa flana ndani jamaa wanakuvua pasipo kuvua shati .wanaivuta. Hapo ndo utajua. Ukitoka hapo kola ya t shirt haifai inabidi ukaitupe.
Yeye uyo mkuu alikua nuksi kinomaKombaa wa french. Alikua na bit sana. Utasikia wewe ufukuzwe shule au yeye aondoke. Hapo anamwambia kipingu
Mi siku ambazo sitaki kutembea nilisogea hadi jaeibu na Lugalo na kupabdia kule kimbembe sasa gari likipita shuleni MP anakagua ukishikwa imekula kwakoUmenikumbusha mbali sana au kushukia pale nimekumiss sana ulipotelea wapi
kuna siku kisonga alituweka had giza pale halaf nilitakiwa siku hiyo kwenda kulala kunduchi nahuko skua nimefika nakumbuka ile nafika kituoni namkuta dada naye ndio anaondoka kwa kunisubiri sana nilipiga kelele akanisbir ikawa pona yanguMi siku ambazo sitaki kutembea nilisogea hadi jaeibu na Lugalo na kupabdia kule kimbembe sasa gari likipita shuleni MP anakagua ukishikwa imekula kwako
.
.
.
Nilipotea tu sababu ya mihabgaiko ya maisha ila siku hizi naibuka mara moja moja na kupita kimya ila hii thread imenigusa
Kama vipi tutafutane PM
Kwahiyo lebo ni kijani tu ?sasaiv shift moja tu
Lebo ni ya njanoKwahiyo lebo ni kijani tu ?
Enzi zangu kulikuwa na Form 1 A hadi H halafu shift mbili
Form 3 na 4 kulikuwa na darasa linaitwa H au G kama nimekosea walisoma vichwa tu yaani waliokuwa wanaongoza Form 1 hadi 2 kisha waliingia hapo
Nilisona hilo darasa ilikuwa ukipata wastani wa 65 unajikuta hata # 20 haupo wakati darasa lingine unaweza kuingia 3 bora
Duuh ilikuwaga noma sana ila Makongo nilipita juzijuzi kumepoa hata mtaani kuwaona madenti wa Nakongo ni ishukuna siku kisonga alituweka had giza pale halaf nilitakiwa siku hiyo kwenda kulala kunduchi nahuko skua nimefika nakumbuka ile nafika kituoni namkuta dada naye ndio anaondoka kwa kunisubiri sana nilipiga kelele akanisbir ikawa pona yangu
Nakuja kwa kweli
Niliwah kuambiwa hivo sasa me kaka ndio alibikabidhisha kwa kisonga yani sitamsahau yule babaDuuh ilikuwaga noma sana ila Makongo nilipita juzijuzi kumepoa hata mtaani kuwaona madenti wa Nakongo ni ishu
Akina Hashimu Thabit
Seki
Irene Ngowi n.k walisona pale
Msanehe tuNiliwah kuambiwa hivo sasa me kaka ndio alibikabidhisha kwa kisonga yani sitamsahau yule baba
Nilikua naona hata tulipokua tunakaaMsanehe tu
Ila kusoma Makobo zamani ilikuwa "ujiko"
Lebo ni ya njano
Kuhusu madarasa nahisi itakua wamepunguza