Ukivaa flana ndani jamaa wanakuvua pasipo kuvua shati .wanaivuta. Hapo ndo utajua. Ukitoka hapo kola ya t shirt haifai inabidi ukaitupe.
Huyo master alinifundisha maths nilikua mtukutu na alikua ananipenda coz i was good in math.na nilimwambia form 4 nitapata A ya math. Na kweli niliipata. A