Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaKila nikisikia jina la Makongo sekondari namkumbuka mzee Tilia!, gwiji wa kemia. Tunammisi sana sasa kwenye semina za waalimu za kila mwaka!
Mkuda flani hiviMimi hao sikuwakuta lakini Kisonga nimemkumbuka tu
Tumbo kubwa sijui ujeshi alifuzu vipiWakina babu side
Hahahaaaha jamanMkuda flani hivi
Mkuu umesoma pale kumbeKumbe wote tumesoma pale
Enzi zetu saa ya kutoka tukikuwa haturuhusiwi kupanda gari pake shuleni ni kupiga "kwata" tu hadi Mwenge
Mr. MalongoliKuna mwalimu anaitwa kenyaman anabonge la saut apa na mbagara
Alafu walikuja wajeda flani ivi wakuda kinoma tukawaita manyota
Je mnalikumbuka joro
Weka pichaHuyo master alinifundisha maths nilikua mtukutu na alikua ananipenda coz i was good in math.na nilimwambia form 4 nitapata A ya math. Na kweli niliipata. A
Kwahiyo lebo ni kijani tu ?
Enzi zangu kulikuwa na Form 1 A hadi G halafu shift mbili
Form 3 na 4 kulikuwa na darasa linaitwa H kama nimekosea walisoma vichwa tu yaani waliokuwa wanaongoza Form 1 hadi 2 kisha waliingia hapo
Hilo darasa ilikuwa ukipata wastani wa 65 unajikuta hata # 20 haupo wakati darasa lingine
Elimu ni ulinzi.Makongo oyeee!!!!
Makongo oyeeee!!!
Makongo oye....
ShikamooAise Babu Side alikua safi sana kuna wakina chinga na sisqo idara ya mihogo hiyo duuuuu.
Ushawahi kupata mkasa wa huyo Meja Kisarika?Huyu jamaa ndio mkono wake wa kulia kama umepinda flani hivi right...?
Dah, jamaa anachapa kama ndio huyo aisee. Halaf alikuwa sio mtu wa kuongea ila ukiingia kwenye 18 zake ni shida aisee.
Kisonga ni ofisa nilimuacha ni LuteniAiseee inatia faraja sana kusikia hizi stories.. Mm nimekaa miaka minne hapo.. Nimetoka 2009.
Tumekaa na Afande miraji Mpka mauti ilipomkuta na wananchi walilia vile vile walivyokua wanatoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lake.
Babu chacha mpenda mizigo.
Bila kumsahaua Afande sele sijui yule mwenye kitambi mpenda kula.
Namkumbuka major tarimo katupigisha sana pindi la computer kwenye zile lab mbili.
Master mayebe ambae walikua wanasema yuko kwenye intelligence ya jeshi.
Kanali kipingu alipokua akija assembly na sare Zake katui inspire sana.
Major mwaseba.
Kombaha alikua ana mikwara kisa alikua ananimilik kombi ya KLF.
Na wengine wengi..
Bila kusahau ukienda toilet Unakuta chata kubwa la POP2.
tuache utani nyambizi wakati wa Pepa kunaboa...
Makongo imetufundisha sana ujanja na kuchakata akili kuto ku give up maana stiki zilikua zinaanzia getini. Wanawake shika mguu mmoja Wanaume kunja ngumi.
Kuna MP Mmoja nilikua simpend juzi nikamuona kwa aziz ally kashastaafu Nusura nimpige Jiwe.
Kisonga ni Habari nyingine.. Wengine wanasema alikua mjeshi asiyevaa sare wengine wanasema raia tu.. Japo alikua anatafuna sana Dada zetu wa form 5 na 6...hasa wakiwa na. Maumbo nadhifu kwenye zile sketi zenye V
Alikufa kwa gridi ya taifaSecond Master Major Yeyeye! Alikuwa bandidu na Jeep yake.
Huyu jamaa alishafariki alikuwaga lab ya Chemistry na biologyAfande "mkaanga sumu"
Jamaa lilikuwa na bonge la kitambiWakina babu side
Dingi alikuwa Afisa wa JW kule External aliniambiaga kuhusu gonjwa la Yeyeye hadi msiba alishirikiAlikufa kwa gridi ya taifa
Kisalika alikuwa haongei sana lakini mtata balaaa....Ushawahi kupata mkasa wa huyo Meja Kisarika?
Huyo alikuwa ni kikosi cha wanaanga yeye na akina Meja Mstaafu Alex Ndeki aliyekuwa Mkuu wa Airwing pamoja Captain Ulomi. Awali kabla mkasa huo walikuwa ni Makanali.
Walikumbwa na mkasa wa kuiba ndege ya kikosi, waliposhtukiwa ikala kwao wakashushwa vyeo meja wote. Mengine siwezi weka hapa jukwaani
Naishia hapa