Wale tuliosoma Makongo Secondary School tukutane hapa

Kila nikisikia jina la Makongo sekondari namkumbuka mzee Tilia!, gwiji wa kemia. Tunammisi sana sasa kwenye semina za waalimu za kila mwaka!
 
Second Master Major Yeyeye! Alikuwa bandidu na Jeep yake.
 
 
Huyu jamaa ndio mkono wake wa kulia kama umepinda flani hivi right...?

Dah, jamaa anachapa kama ndio huyo aisee. Halaf alikuwa sio mtu wa kuongea ila ukiingia kwenye 18 zake ni shida aisee.
Ushawahi kupata mkasa wa huyo Meja Kisarika?

Huyo alikuwa ni kikosi cha wanaanga yeye na akina Meja Mstaafu Alex Ndeki aliyekuwa Mkuu wa Airwing pamoja Captain Ulomi. Awali kabla mkasa huo walikuwa ni Makanali.

Walikumbwa na mkasa wa kuiba ndege ya kikosi, waliposhtukiwa ikala kwao wakashushwa vyeo meja wote. Mengine siwezi weka hapa jukwaani

Naishia hapa
 
Kisonga ni ofisa nilimuacha ni Luteni
 
Kisalika alikuwa haongei sana lakini mtata balaaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…