Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Hakuna really definition ya kutusua kila mtu ana recommendations zake akizifikia basi ana term kama katusua anyway stay focus be positive
 
Serikalini kuwa na cheo cha Mkurugenzi wa taasisi au mwenyekiti wa bodi ya taasisi kwa umri wa miaka 31 ni uwongo. Hapa umedanganya mara nyingi Hizo position wanakua nazo senior civil servants au retired government officials.
Hapana kaka, ni mkurugenzi wa bodi ndio, naomba niishie hapa tafadhali.
 
Hii inaweza kuwa kweli katoboa na hela ya mboga anayo..

Lkn ishu ya kuwa manager kwny makampuni mawili ya serikali imenibdi nione Kama chai ya Buza..labda atuambie chuo amemaliza mwaka gani
Hapana, si manager at both companies, ni man. sehemu moja, nyingine ni mkurugenzi tu wa bodi, si wa kudumu.
 
Back
Top Bottom