Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi, kikubwa ni kupangilia tu muda wako. Mfano, unaweza weka thread hata nne kwa mkupuo. Sasa utashindwaje kuwa na thread 40 kwa miezi hiyo? Kikubwa ni ratiba tu ndugu. Naomba niishie hapo!Ingekua kweli Kama ulivyojielezea kwenye uzi wako usingekua na thread zaidi ya 40 kwa kipndi Cha miez miwili tangu ujiunge na jf.
Nambie huo muda wa kung'ang'ana na jf unaupata wapi ikiwa wew ni mtumishi wa ofisi mbili tofautiView attachment 1959370
Halafu mimi sio dogo kaka 31 yrs now! Kwa hiyo nimeongopa sio? Duuh! Hivi umeelewa post yangu kweli? Nina mashaka katika hili!Usitumie nguvu kubwa kutetea hili dogo, uhalisia unakataa hata kama utakesha mpaka asubuhi. Sekta ya umma haiko hivi unavyotaka kueleza.
Rudia kusoma tena kaka! Usikariri tafadhali![emoji120][emoji120][emoji120]31 Na tayari ni mkurugenzi na mwenyekiti wa mashirika ya umma???!!!
Nafikiri nimekujibu kadiri ya nilivyoweza ndugu! Hiyo ndio historia yangu kwa ufupi.31 Na tayari ni mkurugenzi na mwenyekiti wa mashirika ya umma???!!!
Si dhambi mimi kusema hivyo. Sijamkashifu yeyote wala kumdharau. Najaribu kuwapa moyo wote wanaopitia magumu, kupitia hii thread yangu ya historia yangu. Nafikiri umeelewa.Masikini akipata..hulia mbwata.
Acha vitendo vijidhihirishe na siyo maneno mengi.
Cheo ni dhamana,umetusua kiuchumi,je kijamii?
Kutusua kuna maana pana sana.
Mshahara 8 halafu juzi Kati ulivutwa pumbu na wife?Wanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada...
Hata kama ningetokea maisha duni kiasi gani.Sio sifa kaka, lazima ukumbuke ulikotoka.
Hakuna kitu Kama hicho.Upo sahihi, kikubwa ni kupangilia tu muda wako. Mfano, unaweza weka thread hata nne kwa mkupuo. Sasa utashindwaje kuwa na thread 40 kwa miezi hiyo? Kikubwa ni ratiba tu ndugu. Naomba niishie hapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa maelezo yako bado hujatusua, ungesema una kampuni yako inayokuingizia kadhaa hapo ningekuelewaWanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks
[emoji3][emoji3][emoji3] huyu hoehae tu anajipa moyoMshahara 8 halafu juzi Kati ulivutwa pumbu na wife?
Kwenye Uzi wake mwingine hukoIngekua kweli Kama ulivyojielezea kwenye uzi wako usingekua na thread zaidi ya 40 kwa kipndi Cha miez miwili tangu ujiunge na jf.
Nambie huo muda wa kung'ang'ana na jf unaupata wapi ikiwa wew ni mtumishi wa ofisi mbili tofautiView attachment 1959370
[emoji1787] Nlisem Kama anazo msibishe z kwake.... Kama ni hivi huyu mtu ana tatizo moja la akili linaitwa BIPOLAR. Anajisfia vit ambavyo hanaKwenye Uzi wake mwingine hukoView attachment 1959714
Ndugu zako unawakumbuka lakiniWanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Awe makini Sana na haya maishaKwenye Uzi wake mwingine hukoView attachment 1959714