Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

Wale tuliotoka familia masikini na tukatusua kimaisha tukutane hapa

We jamaa ni muongo kinoma. Nilikushtukia ulipoanzisha uzi wa kutaka kufa kisa umevutwa pumbu.

Hivi mkeo alipata wapi jeuri ya kuvuta mapumbu ya Meneja na Mkurugenzi wa taasisi za umma?
Kaka omba yasikukute, ndoa zina siri nyingi. Anyway, nimekusamehe na naomba niishie hapo.
 
Hata kama ningetokea maisha duni kiasi gani.

Sipendi kujionesha nimetoka kwenye umasikini.
Kwa nini? Si dhambi na si kosa kisheria. Umetoka familia tajiri au ya uchumi wa kawaida?
 
Mshahara wa m8 kwa mwezi maana yake na majukumu yanqongezeka... huwezi pata mida wa kupost ishu hizi hapa. Kama ni kweli basi una bahati
Hapana ni mipango tu, kwani kuingia JF kunapoteza muda gani?
 
Back
Top Bottom