Mgogo Vitani
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 492
- 867
[emoji16][emoji16] Daah mnamsagia kunguni jamaaWewe Mkulungwa01 ....
Hebu tujaribu kuwa na maisha yenye uhalisia jabo kdg... Ww si mkurugenz wa shirika X wala Y, wala si meneja wa X wala Z.........
Then post zako za awali zinakukataa kabisa.... How comes mwaka 2019 ulipangwa Jeshi kwa mujibu then leo ushakuwa meneja cjui mkurugenzi....
Kuna namna nyingi sana za kuwasilisha uzi pasi na kutudanganya na mesej ikafika vzr tu.
Wewe ni mwanafunzi wa chuo X na ushamaliza mwaka wa pili kwa sasa.
Bado unaishi maisha ya KUSADIKIKA.
Naomba kuwasilisha
Anazingua[emoji16][emoji16] Daah mnamsagia kunguni jamaa
[emoji3]Kwa miundo ya taasisi za serikali na umri mtu anamaliza chuo na hadi kupata ajira, miaka 31 unakuwa bado daraja la pili.
Kama ni mfamasia ni pharmacy II
Kama muhasibu ni accountant II
Nk. Nk
Hata umeneja tu kuupata kwa umri huo bado Sana.
Leo dogo anatuambia ni mkurugenzi wa bodi ya Shirika la umma [emoji23]
Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha,najikuta nacheka tu kwenye hizi comments...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Debe tupu hiloAnazingua
Wanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Usije ukajisahau watoto wakawa Type B kama ilivyokuwa kwa wazazi wako!Wanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Ahhahahahahahhaha! Mkuu utakuwa ulibet zile "beti kichaa"! Sheriff kumfunga Real Madrid away na over ya 2.5! Ahahahahahahahah!!Haya maisha muacheni mungu aitwe mungu.
Miaka 3 tu ilibadilisha kabisa upepo wa maisha, nilitengeneza zaidi ya 600m.
Katika utafutaji naamini kabisa na bahati inachangia, sikutumia nguvu kubwa sana katika utafutaji wangu na wala simjui mganga.
watu mpaka leo hawaamini mimi kuishi kwenye nyumba ya zaidi ya 200m.
hapana ni mishe zangu ila zilikuwa zinaningizia zaidi ya 1.6m kwa sikuAhhahahahahahhaha! Mkuu utakuwa ulibet zile "beti kichaa"! Sheriff kumfunga Real Madrid away na over ya 2.5! Ahahahahahahahah!!
OK. All the best Mkuu!hapana ni mishe zangu ila zilikuwa zinaningizia zaidi ya 1.6m kwa siku
Hujamaliza hata nusu mwaka tangu ujiunge JF lakini unataka kuanza uongo na utapeli. Hii thread yako unataka watu wakuombe connection maana unasema wewe ni meneja at the same time ni Mkurugenzi tena wa bodi.Ahsante sana, upo huru kuwaza chochote.
Huyu dogo ni tapeli kama hamjashtuka. Na juzi tu alivutwa mapumbu na mke wake kwaajili ya huu ujinga wake.Samahani naomba uliza maswali Machache!!
Chuo umemaliza na miaka mingapi kaka sasa hivi una 31!
At lever ya Manager kampuni nyingi sana salary scale zao huwezi vuka 5M na hapo ni zile international,labda iwe kampuni ya gumashi amabayo inakwepa mambo mengi sana serikalini! Nina mtu wangu anafanya kampuni x analipwa 15M, lakini kampuni inaendesha kimagumashi kweli kweli,hawezi hata apply skills kwenye kazi yake,he is not comfortable,MD anasema hili,mtoto wa MD nae anasema hili,Baba yake MD anasema hili,Mdogo wake MD anasema hili,kaka yake MD anasema hili! Maana yake hapa ni shamba la Bibi,beba pesa mapema kabla wenye mali,hawajakuchoka!
Mbili kwa huo umri wako,unaweza kua kwenye Bodi members ya shirika lolote la Serikali kweli?? Una uzoefu gani hadi uwe huko??
Yaani uwe Manager kwenye shirika x la serikali,the same time uwe MD kwenye Shirika jingine la serikali?? Kwan wewe unafanya kazi kwenye serikali mbili tofauti?? Huwezi kua na hizo post mbili kwenye serikali moja,labda ungesema wewe ni Polisi,the same time ni mwana eagle, Acha chai bwana! Mashirika mengi ya serikali yanayotumia SU hua yana Director General (DG) na Sio Managing Director (MD) kama unavyosema wewe!
Kama umeamua kupiga Kamba na story zakijiweni sawa! Kua Bodi member wa shirika la serikali sio kazi ndogo,ni kazi kweli kweli!
Kwanini mkifanikiwa mnakua na roho mbaya sanaWanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Sijui kilitokea nini ila kwa sasa ni manager katika shirika X la serikali hapa DSM, pia ni mkurugenzi wa body X ya shirika la serikali hapa DSM. Mishahara yangu yote miwili ni 8M plus marupu rupu, kwa mwezi.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Tupe mbinu mkuu, ulifanyaje au mishe gani hizo?Haya maisha muacheni mungu aitwe mungu.
Miaka 3 tu ilibadilisha kabisa upepo wa maisha, nilitengeneza zaidi ya 600m.
Katika utafutaji naamini kabisa na bahati inachangia, sikutumia nguvu kubwa sana katika utafutaji wangu na wala simjui mganga.
watu mpaka leo hawaamini mimi kuishi kwenye nyumba ya zaidi ya 200m.
Chalii tulia8M imekutoa macho kiasi hicho? Mbona hela ndogo tu hiyo?
Maisha ya jamii forum yanachanganya sana
Wewe juzi tu hapa sii ulisema uko second year au nimekuchanganya
Leo umeshakuwa manager tena kwenye kampuni mbili
I meant nilipokuwa mwaka wa 2 chuoni kaka. Now nina-approach 31 years.