Wale tuliowahi kuchukua room lodge/guest house kwa ajili ya mgegedo alafu mwanamke hakutokeza tujuane tupeane uzoefu ulifanyaje baada ya hapo

Wale tuliowahi kuchukua room lodge/guest house kwa ajili ya mgegedo alafu mwanamke hakutokeza tujuane tupeane uzoefu ulifanyaje baada ya hapo

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
1,993
Reaction score
2,635
Binafsi mm imewahi nitokea kama mara 3 hivi.

1. Mara ya kwanza ni kipindi niko chuo, nimeweka apointment na manzi ameniambia anakuja sa 12, hivyo nichukue chumba, nikaenda lodge fulani hivi classic nikalipa 25, nikarudi hostel nikawa na msubiria, sa 12 imefika hajafika bado but anasema nakuja subiri, sa moja sa mbili ananiambia nakuja nikaenda hapo lodge full nimejipanga nimesubiri weeee baadae sim haipatikani tena, nikaamua kwenda njee kunywa bia, nikarudi ndani, nikamuomba muhudumu anirudishie angalau ata 15 kwa kua chumba hakijatumika akagoma kabisa nikaingia ndani nikafungulia maji bomba zote, tena maji ya moto, washa tv kwa sauti, na kulala kitandani na viatu. (25 upo chuo unapiga pasi ndefu ili ubane matumizi)

2.Huyu wa pili nilimtumia na nauli 10,000/= enzi hizo kikao cha wanaume kupinga tuma nauli bado hakijafanyika. Akaniahidi anakuja na atalala nikachukua room, 20,000/ muda umefika uko wapi?? nakuja subiri, nakuja subiri mpaka giza limeingia nakuja nimefika mahali fulani, sa 3 nakuja sa 4 usiku simu haipatikani. Kufidia hasara nikasema ngoja niende opoa hata bar maid, aisee nika kutana na barmaid mmoja nikampanga, ile tunaenda room kumbe barmaid anakikohozi balaa nikamtimua aisee, hata siku gegeda ikabidi nilale na beer, na kvant tuu.

Ya tatu nitamalizia siku nyingine. Ila wakuu hii kitu huwa inauma sana alafu wamiliki wa lodge au guest hawakurudishii hela, mm huwa nawakomoa kivyangu kwa kufungulia maji koki zote, washa ac, washa tv sauti kubwa, hata muda mwingine kulala na viatu.
Baadae panapomajaliwa nitawasimulia kisa cha kuibiwa simu lodge,
 
Dah kumbe mkuu wewe ni mzoefu sana mambo ya guest na lodge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Nimecheka sana japo nami yashawahi nikuta, kuna manzi alinambiaga nichukue room anakuja nikachukua bt badae sim haipatikani, mda ulipoenda sana nikamuita mhudum alipokuja nikampanga akaeleweka nikamalizia hasira zote kwake..
 
Binafsi mm imewahi nitokea kama mara 3 hivi.
1. Mara ya kwanza ni kipindi niko chuo, nimeweka apointment na manzi ameniambia anakuja sa 12, hivyo nichukue chumba, nikaenda lodge fulani hivi classic nikalipa 25, nikarudi hostel nikawa na msubiria, sa 12 imefika hajafika bado but anasema nakuja subiri, sa moja sa mbili ananiambia nakuja nikaenda hapo lodge full nimejipanga nimesubiri weeee baadae sim haipatikani tena, nikaamua kwenda njee kunywa bia, nikarudi ndani, nikamuomba muhudumu anirudishie angalau ata 15 kwa kua chumba hakijatumika akagoma kabisa nikaingia ndani nikafungulia maji bomba zote, tena maji ya moto, washa tv kwa sauti, na kulala kitandani na viatu. (25 upo chuo unapiga pasi ndefu ili ubane matumizi)

2.Huyu wa pili nilimtumia na nauli 10,000/= enzi hizo kikao cha wanaume kupinga tuma nauli bado hakijafanyika. Akaniahidi anakuja na atalala nikachukua room, 20,000/ muda umefika uko wapi?? nakuja subiri, nakuja subiri mpaka giza limeingia nakuja nimefika mahali fulani, sa 3 nakuja sa 4 usiku simu haipatikani. Kufidia hasara nikasema ngoja niende opoa hata bar maid, aisee nika kutana na barmaid mmoja nikampanga, ile tunaenda room kumbe barmaid anakikohozi balaa nikamtimua aisee, hata siku gegeda ikabidi nilale na beer, na kvant tuu.

Ya tatu nitamalizia siku nyingine. Ila wakuu hii kitu huwa inauma sana alafu wamiliki wa lodge au guest hawakurudishii hela, mm huwa nawakomoa kivyangu kwa kufungulia maji koki zote, washa ac, washa tv sauti kubwa, hata muda mwingine kulala na viatu.
Baadae panapomajaliwa nitawasimulia kisa cha kuibiwa simu lodge,
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe jamaa una kichwa kibovu sana eti unafungulia maji ili uwakomoe
 
Ilishanikuta sema niliwahi kupanic tu maskini,ningekua nina subira hata

yasingenikuta,mtoto tulikubaliana aje saa sita mchana basi mimi mapema tu

saa nne nishachukua room nipo bed nacheki m tv wao tu,saa saba hv nikaptiwa usingizi

kuja kushtuka saa 11 naskia njaa kama yote + nina hasira vibaya mno,nikampgia simu eti akasema

nisiwe na haraka anakuja nikaona huyu ananipanga,nikaenda counter nikamwambia yule mdada kuwa

akipata mteja apangishe chumba changu,chumba kilikua 50k yule dada akanimbia naweza kukurudshia 30k

kama hautolala,nikaona bonge 1 la bahati Nikachukua 30k yangum,nkatoka zangu nkadandia bajaji huyooooo

nipo njiani nasepa sa hiyo saa 12 hv mtoto anantext eti Kashafika yupo nnje nimfate,asee sikugeuka nyuma namm

nikamlipizia nkawa namwambia Nakuja asiwe na haraka,ndio ikaisha hiyo kashantia loss ya 20k mimi halafu anataka nirudi anipgishe mi loss mingine ya ajabu ajabu.
 
Daaa........ We Jamaa ni mtata balaa😂😂
 
Me nililipia room lakinu akutokea ikabidi muhudumu ni nimuombe uzazi bila hiyana kanitunuka kwa gharama ya 15k
 
Dah! Umenikumbusha pale Pongwe Tanga kuna baa moja iko hapo kuna na guest hapohapo, kipindi fulani nikiendesha mishe zangu mitaa ile nikiwa mgeni, sasa nikaingia pale kama mara 3 siku tofautitofauti.
Mara ya nne siku nyingine nikaingia pale kwa lengo la kumtaka demu mmoja alikuwa kanivutia sana ambaye alikuwa akihudumu jikoni! Mama weeh jinsi nilivyokuwa na ugwadu alafu yule demu kanipanga kabisa kuwa nichukue chumba ikifika saa sita atakuja chumbani sababu ndio muda yeye anamaliza shughuli zake za jikoni.
Mwanaume nilinunua kuku mchemsho, kanywa bia tangu asubuhi hadi usiku nahudumia tu. Kweli ilipofika mida ya saa moja jioni kuelekea saa mbili usiku nikamwambia anichukulie chumba kabisa ili nikapumzike nikisubiria kuja kunyamhua kitumbua cha yule dada. Nikampa hela akalipia fresh akaja kunichukua kunionyesha chumba, nikazama ndani nikamwambia aniletee na bia zingine ndani niendelee kunywa kusubiria night kali wakishafunga jikoni aje. Piga maji piga maji mara saa sita kasoro. Nikamchungulia nikaona kama ndio anajiandaa hivi, nikarudi ndani nikaanza kumpigia hesabu vile nitakavyombandua hadi nivunje record za aliowahi kulala nao wote 😬😬
Nimekaa mara saa saba kasoro nasikia milango inafungwafungwa na mishemishe kama bar inafungwa hivi. Nikatoka kuchungulia nikakuta sijui ni mlinzi anafunga, nikamuuliza fulani yuko wapi? Jibu alilonipa hadi pombe iliniisha kichwani. Eti mbona nusu saa imeisha tangu ameondoka? Kusema kweli roho iliniuma ukizingatia zile trip za kutoka kumchungulia nilikuwa napishana kwenye korido wenzangu wakiwa wanatoka kuoga na wapenzi wao maana kuna baadhi ya vyumba pale vilikuwa havina vyoo vya ndani.
Popote alipo huyo dada Mungu anamuona maana sio kwa ukatili alionifanyia ndani ya usiku mmoja ule. Wiki ileile niliondoka Tanga bila kuonana na yule demu tena mpaka leo
 
Dah! Umenikumbusha pale Pongwe Tanga kuna baa moja iko hapo kuna na guest hapohapo, kipindi fulani nikiendesha mishe zangu mitaa ile nikiwa mgeni, sasa nikaingia pale kama mara 3 siku tofautitofauti.
Mara ya nne siku nyingine nikaingia pale kwa lengo la kumtaka demu mmoja alikuwa kanivutia sana ambaye alikuwa akihudumu jikoni! Mama weeh jinsi nilivyokuwa na ugwadu alafu yule demu kanipanga kabisa kuwa nichukue chumba ikifika saa sita atakuja chumbani sababu ndio muda yeye anamaliza shughuli zake za jikoni.
Mwanaume nilinunua kuku mchemsho, kanywa bia tangu asubuhi hadi usiku nahudumia tu. Kweli ilipofika mida ya saa moja jioni kuelekea saa mbili usiku nikamwambia anichukulie chumba kabisa ili nikapumzike nikisubiria kuja kunyamhua kitumbua cha yule dada. Nikampa hela akalipia fresh akaja kunichukua kunionyesha chumba, nikazama ndani nikamwambia aniletee na bia zingine ndani niendelee kunywa kusubiria night kali wakishafunga jikoni aje. Piga maji piga maji mara saa sita kasoro. Nikamchungulia nikaona kama ndio anajiandaa hivi, nikarudi ndani nikaanza kumpigia hesabu vile nitakavyombandua hadi nivunje record za aliowahi kulala nao wote [emoji51][emoji51]
Nimekaa mara saa saba kasoro nasikia milango inafungwafungwa na mishemishe kama bar inafungwa hivi. Nikatoka kuchungulia nikakuta sijui ni mlinzi anafunga, nikamuuliza fulani yuko wapi? Jibu alilonipa hadi pombe iliniisha kichwani. Eti mbona nusu saa imeisha tangu ameondoka? Kusema kweli roho iliniuma ukizingatia zile trip za kutoka kumchungulia nilikuwa napishana kwenye korido wenzangu wakiwa wanatoka kuoga na wapenzi wao maana kuna baadhi ya vyumba pale vilikuwa havina vyoo vya ndani.
Popote alipo huyo dada Mungu anamuona maana sio kwa ukatili alionifanyia ndani ya usiku mmoja ule. Wiki ileile niliondoka Tanga bila kuonana na yule demu tena mpaka leo
Alikukomesha
 
Back
Top Bottom