Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Nilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3577][emoji3577][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bby siku hz umeanza kunisahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea mwenzio nawaza HELSB walichonfanyia mmmh, hebu nitumie lak 3 kwan maan nna hali mbaya.
 
Mimi niliingia kwenye tenga la nguo chafu demu akafunika na mfuniko baadaye kazi kazini...
 
Naona huu uzi ukishika kasi kama ule uzi wa "kula tunda kimasihara".

Leteni burudani.
 
Epic
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea mwenzio nawaza HELSB walichonfanyia mmmh, hebu nitumie lak 3 kwan maan nna hali mbaya.
Sawa tu niktumie Kwa njia ipi?
Ila nikikutumia ndo ujue unakua mkewangu Ile real zaidi ya saiv ingawa tuko real[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa bby[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kisa kingine kabla sijaoa nilimpeleka geto mchepuko wangu, sikuwa nimejipanga kumpeleka geto hivyo sikuandaa mazingira rafiki. Mara tu tulipofika kuingia tuu chumbani mara paap anakutana na baadhi ya nguo za kike na viatu vya kike vya bby mama. Akaanza kuvimba na kuanza kunibania mgegedo kuwa mm nina mademu wengi, kilichomshangaza zaidi ni wingi wa kondom nilizokuwa nazo akawa aki connect na hizo nguo na viatu anaona kabisa mm ni mtu wa totoz, akanibania mgegedo mpaka nika mind ndio akanipa . Ila alilalamika sana. Kokote alipo nampa pole sana
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
maisha ya ndoa vipi?
 
huyo binti una mawasiliano naye?
 
SIKUFUMANIWA MIMI ILA NI KAMA NLIFUMANIA WATU HATA SIWAJUI WAKATI NAENDA KUFUMANIA.

Iko hivi, mimi na rafiki yangu tulikuwa club, ikafika muda wa kuondoka naangalia ivi parking ya gari naona kuna ugomvi naenda kucheki ugomvi jamaa wawili wanamgombea binti(Kalewa kinoma), nlishawah kumtafuna kimasihara, alivyoniona akaona kama kapata relief akaniita nikaenda nikamchomoa pale.

Kosa nlilofanya nikamwambia mshikaji wangu yule aende akakae nae kwenye bajaji nisolve huu ugomvi wa jamaa sababu jamaa mmoja namjua. Jamaangu kaenda na mwanamke kwenye bajaji kweli mwanamke si kalewa jamaa kaiamuru bajaji isepe, ugomvi umeisha bajaji haipo, jamaa hayupo na mwanamke kasepa. Ikabid nipeleleze bajaji iloondoka nikaambiwa nikaisubir mpaka irud, ilivyorud namuuliza umewapeleka wapi wale hataki kusema , nkamwambia nakupeleka police yule ni mke wangu, bajaji kaogopa kaniambia lodge alowapeleka, niakelekea lodge.

NLIVYOFUMANIA SASA

Nimefika lodge namwomba jamaa wa lodge anieleze walipolekea watu nlowadescribe hataki, nikamwambia yule mke wangu jamaa ndio kagoma kabisa. Mambo ya pombe bwana me nshalewa sielewi, nikaona ananizingua nikamwambia napita room moja moja nakagua akasema nawasumbua wateja, basi akawa kama kanipagawisha nikaanza kushout yoyote anaejiona yupo na mke wangu leo hatoki humu ndani nazunguka lodge yote, kumbe kuna mafala wapo lodge na wake za watu wanailia timing sauti inapoelekea, aisee walipoona sauti inashout kwa mbali walitoka nduki kwa speed ya jet mpaka nikapatwa na kicheko. Lodge au gest ikiwa na vyumba kumi vyumba vinne wanaliwa wake za watu, Amini kwamba. Lile baharia lililokimbia na mwanamke nlopora limekausha kimya si linajua sauti yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Maisha ya ujana yana enjoyment nyingi sana aisee. YOLO..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…