Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,644
- 3,880
[emoji3][emoji3]...waliotolewa marinda kwa kufumaniwa kama nawaona wavyoangalia uzu huu kwa uchungu mkubwa.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]...waliotolewa marinda kwa kufumaniwa kama nawaona wavyoangalia uzu huu kwa uchungu mkubwa.....
Ehee alafuMimi ilikuwa hivi
Kuna kipindi nasoma boarding nilipata kident cha form one mtaani wakati huo mimi nipo fom four.
Sasa kila nikikiomba mzigo kinaogopa kutoka kwao ksnadai labda nikakazie kwao.
Plus ugumu wa balehe na katoto kalikuwa kakali ile mbaya nikaona nijilipue tu.
Nikapanga nae mchongo pale kwao yupo na bi mkubwa wake na wafanyakazi wa ndani.
Chumba analala peke yake ila vimekaribiana na cha bi mkubwa wske.
Ilipofika saa nne usiku nikatoroka shule mpaka mtaani karibu na kwao huyo binti.
Nikakapigia simu kakaniambia nisubiri kidogo watu walale.
Nikasubiri mpaka saa sita kakaniambia fresh sass kstazuga kanaenda chooni masna choo mi cha nje nami ndio nimfuate.
Nikavua viatu vyangu nkanyata mpk karibu na choo mara mtoto huyu hapa.
Tukaongozana kuingia ndani yeye mbele mimi nyuma huku nipo peku.
Basda ya kuingia chumbani kwske nikapata wazo kuwa mlango asifunge ili ikitokea mtu akaja fasta tutamsikia anapotembea kwenye floor na akifungua mlango anaweza asipate idea ya kupekua kunitafuta.
Dah tukapanda kitandani vua nguo zote fresh kufika kwenye chupi mtoto kagoma.
Sasa ile purukushani ya kuhangaika kumvua chupi kitanda kikaws kinapiga kelele nati zilikuwa hazikakaza.
Mara mlango wa bi mkubwa ukagunguliw.mtoto alitoa sauti moja tu "maaama"
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila bana wanawake wanaakili nyingi sana pindi umefumaniwa huwa hawapanic kama wanaume. Game ilianza muda wa saa mbili ucku beki 3 wa jirani yuko home peke yake nyumba ni gorofa moja, ile tu nimeingia ndani tunataka kuanza mechi mlango unagongwa, Kuchek ni boss wake amerud. Kwanza mashine ilisinyaa ikawa kama haipo kbsa nyege zote zilikimbilia kwenye uti wa mgongo. Kule ndani sasa nikafichwa Chumba cha beki 3 kiko karibu na choo cha ndani. Huyu boss akawa anapita kwenda choon wakat nimejibanza nyuma ya mlngo ile tu anapita nikasikia anasema mbona hujafunga mlngo na mbu wanaingia?huku anavuta mlango kwa nje ili aufunge yaan nikajikuta napanwa na haja ndgo kwa uoga.
Basi akapita kwend chooni alipofunga tu mlngo wa choo nikatoka spidi kumbe dem tyri alifungua mlngo wa kutoka nje nilifika pale ckupunguza spidi kama yale magari kwenye msafara wa jpm. Zile ngaazi nilikuwa naruka kama nne nne hivi mpka kufika chini.
Sikutaka kumrudia kbsa yule dem ikawa nikikutane Naye anacheka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujamaliza kumbe nyaru umesema uongoMkuu nilisha imalizia fuatilia tu
Powa mkuu! naja! si unajua tena niko kwa folenini!
Mmh.. hapana Aise.. haijawahi kutokea" nikiwa kwenye mahusiano rasmi huwa sipendi kuchepuka..huwa na muheshimu sana mwenza wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah umenikumbusha mbali mkuu,
Nilitongoza binti kumbe mke wa mtu bt yupo kwao coz walikua wana ugomvi na mumewe, so nikachukua chumba then akaja. Ile nimemla cha kwanza, mara mlango ukabishwa hodi, kufungu jamaa ananiambia namtafuta mke wangu, then ile nahamaki jamaa kachomoa kisu. Nilitoka nduki hadi nakufa sintowahi kusahau hii kitu na ilinifanya nibaki njia kuu hadi leo.
Hujamaliza kumbe nyaru umesema uongo
This is your last post here[emoji1313][emoji1313]
Anasubili Jamaa amalizie Story
Ngoja tuone wakishua nyaru sare amalize story yake kama ataendelea kuwepo huyu bibieAnasubili Jamaa amalizie Story
mzee nae alipanic ha ha ha..wale wa kula kimasigara swala la kufumwa au kubambwa ni kawaida...mi mshua alinioteaga nipo maghetoni na manzi tukiwa tupo weupee tumechojoa kila kitu..alipiga rivasi moja matata...ile kumfuata nje aisee alinipa na hela ya bia....😀😀😀😀
Ilitokea kumgegeda binti ya Mwalimu mkuu Jirani tu napoishi! baada ya kumsotea sana bila mafanikio, jumamosi moja saa5 kapita kitaa nikamsongisha upya, safari hii kiulaini tu,
km kawaida tukatinga maskani nimepiga cha 1 cha 2-3 nikapumzika . achana na mwanamke mwenye stress! atakurestisha in peace bure!
Demu akalala fofo! nikajipongeza navojua kazi yangu dhidi ya hawa viumbe! nkasema ngoja nimtengenezee Juice ya Parachichi! kweli ikawa tayari!
Nikamuamsha! amsha na wewe! kumbe ni wa zaamaniii! amesha nyooka mkuu! heee! nikamtania ''wacha utani manka amka bebi'' amna kitu! hapo mida imeenda ujue yapata saa mbili usiku! anatafutwa!
Kumbe Dem bana, alisha korofishwa huko kwao amekunywa sumu, inafanya kazi mwilini taatibu inamuondoa!
Nkatoka nje nikaona watu wanamtafuta mpaka wamekata tamaa wanarudi sasa, nikauliza kuna nini wakanipa story! ''Manka hajaonekana kwao tangia saa tano asubuhi!
Duuu nkaona Msala huu ''inanihusu moja kwa moja sasa ''ntakufa na huyuhuyu mzee nilie muuma sikio''
Nikamwambia hali halisi tukaenda kuangalia akakuta ni kweli, maneno yangu, akanipa akili, akasema.una hatari wewe kijana! mimi nalia tu Manka kunitoka Mzee kanifokea ''Nyamaza ukilia utalibeba mwenyewe mimi simo''.......
Mida kidogo kijana mmoja anafika kutoka mpirani,na mijasho tele, kaliona lile kundi la watafutaji akauliza kulikoni, Dogo kapata picha, akasema alipokuwa anacheza mtaani hapo asubuhi alimuona Manka! '' kwa nyarusare!''
Si ikabidi sasa ule umati ujiulize mbona sipo pale? moja kwa moja kwangu!......... yaliyotokea ndugu wana JF, Ni Mungu alinusuru tu! Nashauri vijana msibebe mizigo hovyo bora uoe basi tulia! na usiombe yakukute, kila dakika sema asante Mungu!
Pole sana mkuuIlitokea kumgegeda binti ya Mwalimu mkuu Jirani tu napoishi! baada ya kumsotea sana bila mafanikio, jumamosi moja saa5 kapita kitaa nikamsongisha upya, safari hii kiulaini tu,
km kawaida tukatinga maskani nimepiga cha 1 cha 2-3 nikapumzika . achana na mwanamke mwenye stress! atakurestisha in peace bure!
Demu akalala fofo! nikajipongeza navojua kazi yangu dhidi ya hawa viumbe! nkasema ngoja nimtengenezee Juice ya Parachichi! kweli ikawa tayari!
Nikamuamsha! amsha na wewe! kumbe ni wa zaamaniii! amesha nyooka mkuu! heee! nikamtania ''wacha utani manka amka bebi'' amna kitu! hapo mida imeenda ujue yapata saa mbili usiku! anatafutwa!
Kumbe Dem bana, alisha korofishwa huko kwao amekunywa sumu, inafanya kazi mwilini taatibu inamuondoa!
Nkatoka nje nikaona watu wanamtafuta mpaka wamekata tamaa wanarudi sasa, nikauliza kuna nini wakanipa story! ''Manka hajaonekana kwao tangia saa tano asubuhi!
Duuu nkaona Msala huu ''inanihusu moja kwa moja sasa ''ntakufa na huyuhuyu mzee nilie muuma sikio''
Nikamwambia hali halisi tukaenda kuangalia akakuta ni kweli, maneno yangu, akanipa akili, akasema.una hatari wewe kijana! mimi nalia tu Manka kunitoka Mzee kanifokea ''Nyamaza ukilia utalibeba mwenyewe mimi simo''.......
Mida kidogo kijana mmoja anafika kutoka mpirani,na mijasho tele, kaliona lile kundi la watafutaji akauliza kulikoni, Dogo kapata picha, akasema alipokuwa anacheza mtaani hapo asubuhi alimuona Manka! '' kwa nyarusare!''
Si ikabidi sasa ule umati ujiulize mbona sipo pale? moja kwa moja kwangu!......... yaliyotokea ndugu wana JF, Ni Mungu alinusuru tu! Nashauri vijana msibebe mizigo hovyo bora uoe basi tulia! na usiombe yakukute, kila dakika sema asante Mungu!
Athante mkuu
Athante mkuru
Endelea mkuuuAthante mkuru
Lkn mtiti wake baba unatisha uliko kifo!
hahahahaNishawahi itwa na demu niende kwao yupo alone. Kufika nikajiachia kama nipo kwetu. Ghafla dingi ake kageuka, ikabidi nijifanye nilikuja kurekebisha taa.
Dingi kauzu hatari, nahisi alinistukia. Maana baada ya kurekebisha ile taa, akanipa na genereta nilirekebisha wakati sijui chochote. Nikaomba niende home kufata vifaa, dingi kagoma,akanitolea tools zake pale, alaf akakaa pembeni anasoma gazeti.
Siwezi rudia ujinga wa kumfata demu kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishawahi itwa na demu niende kwao yupo alone. Kufika nikajiachia kama nipo kwetu. Ghafla dingi ake kageuka, ikabidi nijifanye nilikuja kurekebisha taa.
Dingi kauzu hatari, nahisi alinistukia. Maana baada ya kurekebisha ile taa, akanipa na genereta nilirekebisha wakati sijui chochote. Nikaomba niende home kufata vifaa, dingi kagoma,akanitolea tools zake pale, alaf akakaa pembeni anasoma gazeti.
Siwezi rudia ujinga wa kumfata demu kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app