Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Yaani mkuu wee! acha kabisa kabla hujafa hujaumbika, ni ndefu ila ntajitahidi ku -summarise, ilkuwa hivi;

Baada ya kugundua amekufa nilimfunika vizuri kikawaida, nikatoka nje nikaungana nao kumtafuta huyo Manka,

Kitanda nilichotumia kufanyia matusi ni aina ya Banco, alikitumia mjomba zamani. na vitanda hivi spring zikichoka godoro linaingia ndani bwiii! hivo nilipo piga shuka baba mkuu kikawa flat,

wakati huyo dogo anawasili kutoka mpirani anaropoka kule kuhusu kumuona Manka, nilikuwa tayari nimesha jichomeka kwa baadhi ya makundi ya watafutaji.

Hapo ukumbuke baadhi yao walisema simo ktk kundi la watafutaji wengine wakasema tulimuona yumo! haya niliyapata kinamna fulani, ktk giza hilohilo, wakati wanaongea!

Hapo ujue siwazii kipigo tena, ambacho huenda kingekuwa nafuu kwangu, nawaza ntakavo kula, kitanzi tu, ndiyo halali yangu kifupi nilishakufa nusu, nikajua mimi ndo basi tena, naondoka.sitarudi kitaa.

Nawaza sasa sijui nikimbie au nikae tu, hata nikikimbia serikali huwezi ikimbia, sitafika popote! nikasema tu potelea kwa pote!

Kwa kuwaza hivi akili yangu ikawa sugu ghafla, mwili ukafa ganzi sitetemeki tena yaani ''imekuwa imekuwa hivo hakuna namna''. Mungu akitaka sawa asipotaka sawa .

Nikajua watanifuata kwangu hawatanikuta hivo watanitafuta tu, nika- buy time kidgo, kwa kujiweka mbali kwa muda! hapo tayari watu wamesha zingira kibanda changu,kwa hamu! ili nifumaniwe! napate kichapo cha mbwa mwizi.

Humo sasa ni mchanganyiko kuna wabaya wangu na wema wangu, mmoja wa wabaya wangu alikuwa mdogo wangu wa 3 nyuma, kabisaaa toka nitoke, alitokea kutonipenda tu, ikawa hivo!

Wengine madrishani, mlangoni wanasikilizia, km kuna sauti za mahaba zinasikika, na wengine utani humohumo! wanaropoka kifisi maji! leo unalo!


Shilawadu faster kama kawaida hawa chelewagi ''kumbe upo Nyarusare unatafutwa'', haraka nenda, kwako, kuna wageni wako, wengine wenye roho nzuri wanakwambia kabisaaa, km uko huku umepona nenda tu kawatowe shaka!

Haya yote naambiwa na washkaji lkn moyo haupo kabisa! najua mi ndo bye! bye! hapo nimevalia kama jezi za mpira! nasindikizwa na kundi kwenda kwangu, humo njiani sasa, watu hawaamini wanajua nilikurupushwa mazoezini tu, sijui lolote!

Kwa mbali ninakaribia kwangu kwa mwonekano wangu, naona km watu wanatawanyika hivi kiaina , km kukata tamaa vile, ile shauku ya kunifumania inapotea, nika sikia wana sema ''mtu mwenyewe huyu....''

Wengine una bahati, wengine Aaaaaa!hhh! wengine hakuna afungue tu, hawaminiki hawa! mafisi maji!
Wengine acheni tutimize wajibu, si nikafungua mwana, nikaingia nao! pigwa sachi chooni kila sehemu.

Mwisho kabisa mlevi mmoja akachungulia uvunguni kilevilevi! haraka haraka, akanyanyuka, wakawa wanatukana na kusonya! mnakaa kaa viambazani na watoto wa watu,

Hawakugundua kuwa ndani ya kitanda cha banco kuna mtu kwa namna kilivo pigwa flat, baada ya ile search ndiyo wakanambia shida yao ni nini!,,,,,

Mkuu endelea basi eehee ikawaje sasa
 
Yaani mkuu wee! acha kabisa kabla hujafa hujaumbika, ni ndefu ila ntajitahidi ku -summarise, ilkuwa hivi;

Baada ya kugundua amekufa nilimfunika vizuri kikawaida, nikatoka nje nikaungana nao kumtafuta huyo Manka,

Kitanda nilichotumia kufanyia matusi ni aina ya Banco, alikitumia mjomba zamani. na vitanda hivi spring zikichoka godoro linaingia ndani bwiii! hivo nilipo piga shuka baba mkuu kikawa flat,

wakati huyo dogo anawasili kutoka mpirani anaropoka kule kuhusu kumuona Manka, nilikuwa tayari nimesha jichomeka kwa baadhi ya makundi ya watafutaji.

Hapo ukumbuke baadhi yao walisema simo ktk kundi la watafutaji wengine wakasema tulimuona yumo! haya niliyapata kinamna fulani, ktk giza hilohilo, wakati wanaongea!

Hapo ujue siwazii kipigo tena, ambacho huenda kingekuwa nafuu kwangu, nawaza ntakavo kula, kitanzi tu, ndiyo halali yangu kifupi nilishakufa nusu, nikajua mimi ndo basi tena, naondoka.sitarudi kitaa.

Nawaza sasa sijui nikimbie au nikae tu, hata nikikimbia serikali huwezi ikimbia, sitafika popote! nikasema tu potelea kwa pote!

Kwa kuwaza hivi akili yangu ikawa sugu ghafla, mwili ukafa ganzi sitetemeki tena yaani ''imekuwa imekuwa hivo hakuna namna''. Mungu akitaka sawa asipotaka sawa .

Nikajua watanifuata kwangu hawatanikuta hivo watanitafuta tu, nika- buy time kidgo, kwa kujiweka mbali kwa muda! hapo tayari watu wamesha zingira kibanda changu,kwa hamu! ili nifumaniwe! napate kichapo cha mbwa mwizi.

Humo sasa ni mchanganyiko kuna wabaya wangu na wema wangu, mmoja wa wabaya wangu alikuwa mdogo wangu wa 3 nyuma, kabisaaa toka nitoke, alitokea kutonipenda tu, ikawa hivo!

Wengine madrishani, mlangoni wanasikilizia, km kuna sauti za mahaba zinasikika, na wengine utani humohumo! wanaropoka kifisi maji! leo unalo!


Shilawadu faster kama kawaida hawa chelewagi ''kumbe upo Nyarusare unatafutwa'', haraka nenda, kwako, kuna wageni wako, wengine wenye roho nzuri wanakwambia kabisaaa, km uko huku umepona nenda tu kawatowe shaka!

Haya yote naambiwa na washkaji lkn moyo haupo kabisa! najua mi ndo bye! bye! hapo nimevalia kama jezi za mpira! nasindikizwa na kundi kwenda kwangu, humo njiani sasa, watu hawaamini wanajua nilikurupushwa mazoezini tu, sijui lolote!

Kwa mbali ninakaribia kwangu kwa mwonekano wangu, naona km watu wanatawanyika hivi kiaina , km kukata tamaa vile, ile shauku ya kunifumania inapotea, nika sikia wana sema ''mtu mwenyewe huyu....''

Wengine una bahati, wengine Aaaaaa!hhh! wengine hakuna afungue tu, hawaminiki hawa! mafisi maji!
Wengine acheni tutimize wajibu, si nikafungua mwana, nikaingia nao! pigwa sachi chooni kila sehemu.

Mwisho kabisa mlevi mmoja akachungulia uvunguni kilevilevi! haraka haraka, akanyanyuka, wakawa wanatukana na kusonya! mnakaa kaa viambazani na watoto wa watu,

Hawakugundua kuwa ndani ya kitanda cha banco kuna mtu kwa namna kilivo pigwa flat, baada ya ile search ndiyo wakanambia shida yao ni nini!,,,,,
Mbona kama haijaisha hiv mkuu.So finally ilikuaje? Walimpata vp?au ww uliitoa vp hiyo maiti??
Au ni mm tu sijaelewa??
 
Binafsi mm nimewahi kufumaniwa kama mara mbili hivi, mara ya kwanza niliopoa kadem kalikokuwa kanasoma chuo sasa siku moja ya jumamosi wife yy akiwa ameenda ofisini kwake nika kaita kaje nyumbani, alivyokuja nika mgegedea kwenye chumba cha house girl yy pia hakuwepo, mara paap nasikia geti linagongwa kuchungulia ni wife nilimchukua yule demu na kwenda nae bafuni sehemu ambapo tuna pendaga kufulia nikachukua nguo zote chafu, safi na mashuka nikamfunika huku nikijidai kuwa nafua baada ya hapo nikaenda fungua geti. Wife alivyoona nina mzigo mkubwa wa nguo alinihurumia nikamwambia inabidi nipambane tusimsubirie house girl ambaye alikua ameenda na watoto kwa bibi ya wakati wa likizo. wife alichukua document alizokuwa amezisahau kisha akasepa mm nikaendelea na mgegedo.
Embu wadau tupeni visa vyenu ilikuwaje ukafumaniwa
Watu wanafumaniwa kila siku kwenye simu
 
Yaani mkuu wee! acha kabisa kabla hujafa hujaumbika, ni ndefu ila ntajitahidi ku -summarise, ilkuwa hivi;

Baada ya kugundua amekufa nilimfunika vizuri kikawaida, nikatoka nje nikaungana nao kumtafuta huyo Manka,

Kitanda nilichotumia kufanyia matusi ni aina ya Banco, alikitumia mjomba zamani. na vitanda hivi spring zikichoka godoro linaingia ndani bwiii! hivo nilipo piga shuka baba mkuu kikawa flat,

wakati huyo dogo anawasili kutoka mpirani anaropoka kule kuhusu kumuona Manka, nilikuwa tayari nimesha jichomeka kwa baadhi ya makundi ya watafutaji.

Hapo ukumbuke baadhi yao walisema simo ktk kundi la watafutaji wengine wakasema tulimuona yumo! haya niliyapata kinamna fulani, ktk giza hilohilo, wakati wanaongea!

Hapo ujue siwazii kipigo tena, ambacho huenda kingekuwa nafuu kwangu, nawaza ntakavo kula, kitanzi tu, ndiyo halali yangu kifupi nilishakufa nusu, nikajua mimi ndo basi tena, naondoka.sitarudi kitaa.

Nawaza sasa sijui nikimbie au nikae tu, hata nikikimbia serikali huwezi ikimbia, sitafika popote! nikasema tu potelea kwa pote!

Kwa kuwaza hivi akili yangu ikawa sugu ghafla, mwili ukafa ganzi sitetemeki tena yaani ''imekuwa imekuwa hivo hakuna namna''. Mungu akitaka sawa asipotaka sawa .

Nikajua watanifuata kwangu hawatanikuta hivo watanitafuta tu, nika- buy time kidgo, kwa kujiweka mbali kwa muda! hapo tayari watu wamesha zingira kibanda changu,kwa hamu! ili nifumaniwe! napate kichapo cha mbwa mwizi.

Humo sasa ni mchanganyiko kuna wabaya wangu na wema wangu, mmoja wa wabaya wangu alikuwa mdogo wangu wa 3 nyuma, kabisaaa toka nitoke, alitokea kutonipenda tu, ikawa hivo!

Wengine madrishani, mlangoni wanasikilizia, km kuna sauti za mahaba zinasikika, na wengine utani humohumo! wanaropoka kifisi maji! leo unalo!


Shilawadu faster kama kawaida hawa chelewagi ''kumbe upo Nyarusare unatafutwa'', haraka nenda, kwako, kuna wageni wako, wengine wenye roho nzuri wanakwambia kabisaaa, km uko huku umepona nenda tu kawatowe shaka!

Haya yote naambiwa na washkaji lkn moyo haupo kabisa! najua mi ndo bye! bye! hapo nimevalia kama jezi za mpira! nasindikizwa na kundi kwenda kwangu, humo njiani sasa, watu hawaamini wanajua nilikurupushwa mazoezini tu, sijui lolote!

Kwa mbali ninakaribia kwangu kwa mwonekano wangu, naona km watu wanatawanyika hivi kiaina , km kukata tamaa vile, ile shauku ya kunifumania inapotea, nika sikia wana sema ''mtu mwenyewe huyu....''

Wengine una bahati, wengine Aaaaaa!hhh! wengine hakuna afungue tu, hawaminiki hawa! mafisi maji!
Wengine acheni tutimize wajibu, si nikafungua mwana, nikaingia nao! pigwa sachi chooni kila sehemu.

Mwisho kabisa mlevi mmoja akachungulia uvunguni kilevilevi! haraka haraka, akanyanyuka, wakawa wanatukana na kusonya! mnakaa kaa viambazani na watoto wa watu,

Hawakugundua kuwa ndani ya kitanda cha banco kuna mtu kwa namna kilivo pigwa flat, baada ya ile search ndiyo wakanambia shida yao ni nini!,,,,,
Malizia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah nakumbuka walikuja home sa8 ya usiku kumtafuta binti yao wakawasumbua wazee wa watu mm sionekan binti haonekani wakaja nyumba ya jirani waka sachi pia wakaenda kwa jirani mwingine wakanikosa, wakaanza kutamba sasa kwamba wakinikuta na binti yao watanikata kitendea kazi, mm nikatoka nilikokuwa nikaenda kuwasaidia kumtafuta binti..kwa mikwara yaliyokuwa wanapiga alaf wakaona ninawasaidia ikabidi watulie, watu wakarudi makwao na mimi nikarudi kwao nikaendeleza kumtafuna binti yao yaan wale wazee mafala sana wameenda kumtafuta mtoto wao kwetu wakati mm nimelala nae kwao. Pumbav kabisa..sitorudia ule ujinga maana wazee wake wote ni wajeda..nilifanikiwa kupata mtoto wa kike na binti yao ambaye sasa ana miaka 20.
Hahaha *****

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kama haijaisha hiv mkuu.So finally ilikuaje? Walimpata vp?au ww uliitoa vp hiyo maiti??
Au ni mm tu sijaelewa??
Mkuu tulia nikupe mambo, Dunia hii bana kizunguzungu sana, inatisha! mpaka unaweza sema Mungu umenisaidia sana, sasa naomba uniue tu!
 
Basi bana! katika lile kundi lililo nipiga search! kumbuka kuna Mzee wa makamu nilisha mng'ata sikio, kuhusu tukio zima la ile picha ilivo enda, na ikawa vile, pia alikuwemo!

Lakini baada ya search hawakuniacha hivi hivi, waliniuliza maswali mengi baada ya kumkosa ndani km hivi..
''Sema ulikuwa na Manka saa ngapi?''
Na mlifanya nini?,
Ulianza naye lini?
Ndo kamchezo kenu haka?
Kama umemtorosha utapata maatizo sema ukweli!

wengine sasa utasikia ''ukisema ukweli tu hatuna shida! yule ni mdada mtu mzima!''

Kwa kuwa nilishamsikia yule dogo aliye kuwa ametokea mpirani akitaja muda, na mimi nikataja mda huo huo! ili kupenyeza chembe za uongo mtakatifu unaofanana na ukweli nikasema

''ni kweli nilimuona muda wa saa tano, akipita karibu na kwangu, nilimsalimia tu, baada ya hapo sijui alielekea wapi!

Mzee niliye mtonya alicho kifanya usiku ule sasa, Baada ya watu kukata tamaa kuwa hayupo kwangu, yeye ndo akawa peer group Leader wa kuwahimiza kwenda kutafuta mbele na kwingine zaidi, ya maeneo ya nyumbani kwangu.

Katika huu muziki niliokuwa naucheza Baba mkuu, Siamini yalokuwa yanaendelea naliona kama Cinema flani hivi, na kwamba huenda watanirudia kupiga search upya! yaani ilmradi tu nilikuwa vile !

Huko mbele sasa Mzee wa mtonyo, akawa anazuga msisitizo, ''lazima apatikane tu'', na mimi huku nyuma nikafunga mlango wangu nikaungana nao tena,

Huku Moyoni nikisikitika kwa majuto na majonzi mazito, siyo namsikitikia Manka! ra hasha! nitakavyo kula kitanzi cha kuua maksudi, ......nikijisemea akilini kichwa wazi kaniponza!

Kundi likaendelea kutafuta mbele zaidi, ujue hapo wengine wamesha kata tamaa, wanaenda tu kwa kufuata mkumbo wakiwa na story zao, za hapa na pale! na wengine hasa wamama wamejiendea majumbani mwao!

Na wengine majirani zake walikuwa wanasema alikuwa ananyanyaswa hapo nyumbani kwao, mara alikuwa na kisirani, mara katoroshwa tu huyu binti mkubwa, ilimradi zoezi linaendelea!

Hatimaye kukawa kimyaaa!,
Mzee wa mtonyo sasa anavuta hisia za usikivu kotekote! maoni yao na mtazamo wao, kuhusu jambo hili, wakati anatafakari hayo, ananisogelea kwa chati, akasema ''hakuna kitu hapa haraka sana nikukute nyumbani kwako'' nikasema ''sawa''

Wakati hili zoezi la utafutaji linaendelea Mzee wa Mtonyo alijikausha kama hajui kitu vile! si kwangu wala kwa Manka!

Basi nikazuga kama nastukia sehemu za kiza kiza hivi kiutafutaji, mara nikapotelea huko kizani moja kwa moja mpaka nyumbani kwangu, polepole nikasubiri. hapo nilikuwa natembea kimachale sana nisionekane unajua kifo tena!

Yule mzee wa Mtonyo hakuchelewa sana naye akawa amefika, na kufanya yake, akasema nifuate nitakayo sema hii imesha tokea, usiseme ukisema! mimi simo, sababu nakusaidia wewe!.

Tukamviringisha marehemu Manka vizuri, ila palepale tatizo likajitokeza kwamba marehemu alitoa uharo mwingi, uharo huu tuliugundua baada ya kumgeuza geuza, na kumuweka uzuri,

Ujue hili lilikuwa ni zoezi la dakika chache sana, kwa mantiki kwamba tusijekutwa na umati tukiwa tunafanya haya! tukaubeba mwili wa Manka tukaondoka nao, Mimi mbele mzee nyuma! kwa masharti makali ''ukilialia! nakuachia huko huko mbele!''

Hapo kamvua kananyesha kwa mbaali, nikasema ''sasa wapi mzee?'' elekea kuleee! mara hivi, mara hivi, kidogo sana niachie mzigo, nilidhani km mzee ananiuza vile!

Wakati nawaza hayo Ghafla bin vuuu! bila kudhania, ilipiga Radi ni si kitoto!! ikawa kama imeturusha wote na ule mwili wa Manka, na kulala pembeni kwenye majani, lkn Manka akawa na alama Usoni!

Hapa na pale, tuka simama, Mzee kasema ''usishangae changamka sasa! huo uharo unauona?'' kuangalia nyuma yangu Daaaa! ni mchirizi wa uharo fyuuuuuu! mpaka nyumbani kwangu,........

Kwa ajili ya stress Macho yaliingia ndani, na midomo ilinikauka sana, tena pia nilisahau ndani kwangu kitambaa chake cha kichwani, niligundua wakati mzee alisha ondoka,

Hali ya salio la kitambaa ilinifanya kucheck kila mahali isije ikaweka kithibitisho! mbaya zaidi kifo nakiangalia hivi mpaka some times nakata tamaa!

Ilinichukua muda mrefu sana, nikimaanisha mrefu! kusahau hili jambo, kila nikivuta hisia mwili ulikuwa unasisimka, baadhi walijua na kunicheka, baadhi walinitia Moyo!

Nilifika mahali niliumia zaidi, pale Mdogo wangu wa damu, alivokuwa anatabasamu! wakati nipo kwenye lindi la maatizo,... tena basi kifo! sikushangaa nilijua ndiyo hali halisi ya ndugu!

Basi mkuu nikachukua kitu kama fagio hivi lililo chanua kwa mbele, nikaufagia ule uharo harakaharaka kwa ustadi, tokea nyumbani kwangu, mpaka pale penye mwili! but nyumbani kwangu nilikausha zaidi!

Kile kitambaa cha kichwani alicho kiacha, nilikitupa kwenye choo cha shimo, kupiga tochi hivi kikawa kinaonekana juu ya vinyesi! nikatupia mawe na udongo wapi, mara yaende pembeni, mara yafunike kidogo!

Nilitwaa jiti refuuu km ufito hivi nikakoroga kile kitamabaa kikawa kama kinyesi, Ok! nikahakikisha ndani pako shwari,

Asubuhi ya alfajiri na mapema kama kawaida SHILAWADU, wakaleta habari, Manka kapatikana maeneo fulani, lakini baba yake haamini kile kilicho tokea kwa mwanae!

Hapo sasa yakajitokeza makundi mawili, walio muunga mkono Baba yake Manka, na wasio muunga mkono! waliomuunga mkono ni wale waliopita maeneo hayo wakati wa kutafuta wakisema '' hapa! hapa! haiwezekani!

Lkn Baba yake Manka alisistiza kuwa, mlengwa hasa ni yule aliye kuwa na mwanae saa tano asubuhi. sababu story na maelezo kuhusu mwanae haya kwenda beyond saa tano asubuhi!

Na mtu pekee wa kuongea na Manka mida hiyo ni mimi, ukatokea ubishani si kidogo hapo, mzee wa Mtonyo naye akipiga mawe kwa mbaali, bila kutumia nguvu nyingi! ilikuniweka safe side!

Hapo ikabidi na mpenzi kindakindaki wa Manka atajwe na mdogo wa Manka! na akatafutwa, . kosa kubwa ni kwa nini hayuko hapa?
 
Una bahati sana,usirudie
Mimi sikufumaniwa ila nilienda kugonga dirishani kumbe mmeo karudi yuko chumbani nikawa naita kwa jina mama zuhura fungua mara kibao kumbe linjemba linafungua mlango taratibu nashituka tu kumbe mlango wa chumbani kishafungu anafungua mlango wa mwisho wa nje kimya kimya mwanangu nilikmbia kama mbwa mwizi kwakuwa nilkuwa kitambi nilihema mfukilizo kama nataka kukata roho


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi bana! katika lile kundi lililo nipiga search! kumbuka kuna Mzee wa makamu nilisha mng'ata sikio, kuhusu tukio zima la ile picha ilivo enda, na ikawa vile, pia alikuwemo!

Lakini baada ya search hawakuniacha hivi hivi, waliniuliza maswali mengi baada ya kumkosa ndani km hivi..
''Sema ulikuwa na Manka saa ngapi?''
Na mlifanya nini?,
Ulianza naye lini?
Ndo kamchezo kenu haka?
Kama umemtorosha utapata maatizo sema ukweli!

wengine sasa utasikia ''ukisema ukweli tu hatuna shida! yule ni mdada mtu mzima!''

Kwa kuwa nilishamsikia yule dogo aliye kuwa ametokea mpirani akitaja muda, na mimi nikataja mda huo huo! ili kupenyeza chembe za uongo mtakatifu unaofanana na ukweli nikasema

''ni kweli nilimuona muda wa saa tano, akipita karibu na kwangu, nilimsalimia tu, baada ya hapo sijui alielekea wapi!

Mzee niliye mtonya alicho kifanya usiku ule sasa, Baada ya watu kukata tamaa kuwa hayupo kwangu, yeye ndo akawa peer group Leader wa kuwahimiza kwenda kutafuta mbele na kwingine zaidi, ya maeneo ya nyumbani kwangu.

Katika huu muziki niliokuwa naucheza Baba mkuu, Siamini yalokuwa yanaendelea naliona kama Cinema flani hivi, na kwamba huenda watanirudia kupiga search upya! yaani ilmradi tu nilikuwa vile !

Huko mbele sasa Mzee wa mtonyo, akawa anazuga msisitizo, ''lazima apatikane tu'', na mimi huku nyuma nikafunga mlango wangu nikaungana nao tena,

Huku Moyoni nikisikitika kwa majuto na majonzi mazito, siyo namsikitikia Manka! ra hasha! nitakavyo kula kitanzi cha kuua maksudi, ......nikijisemea akilini kichwa wazi kaniponza!

Kundi likaendelea kutafuta mbele zaidi, ujue hapo wengine wamesha kata tamaa, wanaenda tu kwa kufuata mkumbo wakiwa na story zao, za hapa na pale! na wengine hasa wamama wamejiendea majumbani mwao!

Na wengine majirani zake walikuwa wanasema alikuwa ananyanyaswa hapo nyumbani kwao, mara alikuwa na kisirani, mara katoroshwa tu huyu binti mkubwa, ilimradi zoezi linaendelea!

Hatimaye kukawa kimyaaa!,
Mzee wa mtonyo sasa anavuta hisia za usikivu kotekote! maoni yao na mtazamo wao, kuhusu jambo hili, wakati anatafakari hayo, ananisogelea kwa chati, akasema ''hakuna kitu hapa haraka sana nikukute nyumbani kwako'' nikasema ''sawa''

Wakati hili zoezi la utafutaji linaendelea Mzee wa Mtonyo alijikausha kama hajui kitu vile! si kwangu wala kwa Manka!

Basi nikazuga kama nastukia sehemu za kiza kiza hivi kiutafutaji, mara nikapotelea huko kizani moja kwa moja mpaka nyumbani kwangu, polepole nikasubiri. hapo nilikuwa natembea kimachale sana nisionekane unajua kifo tena!

Yule mzee wa Mtonyo hakuchelewa sana naye akawa amefika, na kufanya yake, akasema nifuate nitakayo sema hii imesha tokea, usiseme ukisema! mimi simo, sababu nakusaidia wewe!.

Tukamviringisha marehemu Manka vizuri, ila palepale tatizo likajitokeza kwamba marehemu alitoa uharo mwingi, uharo huu tuliugundua baada ya kumgeuza geuza, na kumuweka uzuri,

Ujue hili lilikuwa ni zoezi la dakika chache sana, kwa mantiki kwamba tusijekutwa na umati tukiwa tunafanya haya! tukaubeba mwili wa Manka tukaondoka nao, Mimi mbele mzee nyuma! kwa masharti makali ''ukilialia! nakuachia huko huko mbele!''

Hapo kamvua kananyesha kwa mbaali, nikasema ''sasa wapi mzee?'' elekea kuleee! mara hivi, mara hivi, kidogo sana niachie mzigo, nilidhani km mzee ananiuza vile!

Wakati nawaza hayo Ghafla bin vuuu! bila kudhania, ilipiga Radi ni si kitoto!! ikawa kama imeturusha wote na ule mwili wa Manka, na kulala pembeni kwenye majani, lkn Manka akawa na alama Usoni!

Hapa na pale, tuka simama, Mzee kasema ''usishangae changamka sasa! huo uharo unauona?'' kuangalia nyuma yangu Daaaa! ni mchirizi wa uharo fyuuuuuu! mpaka nyumbani kwangu,........

Kwa ajili ya stress Macho yaliingia ndani, na midomo ilinikauka sana, tena pia nilisahau ndani kwangu kitambaa chake cha kichwani, niligundua wakati mzee alisha ondoka,

Hali ya salio la kitambaa ilinifanya kucheck kila mahali isije ikaweka kithibitisho! mbaya zaidi kifo nakiangalia hivi mpaka some times nakata tamaa!

Ilinichukua muda mrefu sana, nikimaanisha mrefu! kusahau hili jambo, kila nikivuta hisia mwili ulikuwa unasisimka, baadhi walijua na kunicheka, baadhi walinitia Moyo!

Nilifika mahali niliumia zaidi, pale Mdogo wangu wa damu, alivokuwa anatabasamu! wakati nipo kwenye lindi la maatizo,... tena basi kifo! sikushangaa nilijua ndiyo hali halisi ya ndugu!

Basi mkuu nikachukua kitu kama fagio hivi lililo chanua kwa mbele, nikaufagia ule uharo harakaharaka kwa ustadi, tokea nyumbani kwangu, mpaka pale penye mwili! but nyumbani kwangu nilikausha zaidi!

Kile kitambaa cha kichwani alicho kiacha, nilikitupa kwenye choo cha shimo, kupiga tochi hivi kikawa kinaonekana juu ya vinyesi! nikatupia mawe na udongo wapi, mara yaende pembeni, mara yafunike kidogo!

Nilitwaa jiti refuuu km ufito hivi nikakoroga kile kitamabaa kikawa kama kinyesi, Ok! nikahakikisha ndani pako shwari,

Asubuhi ya alfajiri na mapema kama kawaida SHILAWADU, wakaleta habari, Manka kapatikana maeneo fulani, lakini baba yake haamini kile kilicho tokea kwa mwanae!

Hapo sasa yakajitokeza makundi mawili, walio muunga mkono Baba yake Manka, na wasio muunga mkono! waliomuunga mkono ni wale waliopita maeneo hayo wakati wa kutafuta wakisema '' hapa! hapa! haiwezekani!

Lkn Baba yake Manka alisistiza kuwa, mlengwa hasa ni yule aliye kuwa na mwanae saa tano asubuhi. sababu story na maelezo kuhusu mwanae haya kwenda beyond saa tano asubuhi!

Na mtu pekee wa kuongea na Manka mida hiyo ni mimi, ukatokea ubishani si kidogo hapo, mzee wa Mtonyo naye akipiga mawe kwa mbaali, bila kutumia nguvu nyingi! ilikuniweka safe side!

Hapo ikabidi na mpenzi kindakindaki wa Manka atajwe na mdogo wa Manka! na akatafutwa, . kosa kubwa ni kwa nini hayuko hapa?
Endelea mkuu enheee
 
Yaani mkuu wee! acha kabisa kabla hujafa hujaumbika, ni ndefu ila ntajitahidi ku -summarise, ilkuwa hivi;

Baada ya kugundua amekufa nilimfunika vizuri kikawaida, nikatoka nje nikaungana nao kumtafuta huyo Manka,

Kitanda nilichotumia kufanyia matusi ni aina ya Banco, alikitumia mjomba zamani. na vitanda hivi spring zikichoka godoro linaingia ndani bwiii! hivo nilipo piga shuka baba mkuu kikawa flat,

wakati huyo dogo anawasili kutoka mpirani anaropoka kule kuhusu kumuona Manka, nilikuwa tayari nimesha jichomeka kwa baadhi ya makundi ya watafutaji.

Hapo ukumbuke baadhi yao walisema simo ktk kundi la watafutaji wengine wakasema tulimuona yumo! haya niliyapata kinamna fulani, ktk giza hilohilo, wakati wanaongea!

Hapo ujue siwazii kipigo tena, ambacho huenda kingekuwa nafuu kwangu, nawaza ntakavo kula, kitanzi tu, ndiyo halali yangu kifupi nilishakufa nusu, nikajua mimi ndo basi tena, naondoka.sitarudi kitaa.

Nawaza sasa sijui nikimbie au nikae tu, hata nikikimbia serikali huwezi ikimbia, sitafika popote! nikasema tu potelea kwa pote!

Kwa kuwaza hivi akili yangu ikawa sugu ghafla, mwili ukafa ganzi sitetemeki tena yaani ''imekuwa imekuwa hivo hakuna namna''. Mungu akitaka sawa asipotaka sawa .

Nikajua watanifuata kwangu hawatanikuta hivo watanitafuta tu, nika- buy time kidgo, kwa kujiweka mbali kwa muda! hapo tayari watu wamesha zingira kibanda changu,kwa hamu! ili nifumaniwe! napate kichapo cha mbwa mwizi.

Humo sasa ni mchanganyiko kuna wabaya wangu na wema wangu, mmoja wa wabaya wangu alikuwa mdogo wangu wa 3 nyuma, kabisaaa toka nitoke, alitokea kutonipenda tu, ikawa hivo!

Wengine madrishani, mlangoni wanasikilizia, km kuna sauti za mahaba zinasikika, na wengine utani humohumo! wanaropoka kifisi maji! leo unalo!


Shilawadu faster kama kawaida hawa chelewagi ''kumbe upo Nyarusare unatafutwa'', haraka nenda, kwako, kuna wageni wako, wengine wenye roho nzuri wanakwambia kabisaaa, km uko huku umepona nenda tu kawatowe shaka!

Haya yote naambiwa na washkaji lkn moyo haupo kabisa! najua mi ndo bye! bye! hapo nimevalia kama jezi za mpira! nasindikizwa na kundi kwenda kwangu, humo njiani sasa, watu hawaamini wanajua nilikurupushwa mazoezini tu, sijui lolote!

Kwa mbali ninakaribia kwangu kwa mwonekano wangu, naona km watu wanatawanyika hivi kiaina , km kukata tamaa vile, ile shauku ya kunifumania inapotea, nika sikia wana sema ''mtu mwenyewe huyu....''

Wengine una bahati, wengine Aaaaaa!hhh! wengine hakuna afungue tu, hawaminiki hawa! mafisi maji!
Wengine acheni tutimize wajibu, si nikafungua mwana, nikaingia nao! pigwa sachi chooni kila sehemu.

Mwisho kabisa mlevi mmoja akachungulia uvunguni kilevilevi! haraka haraka, akanyanyuka, wakawa wanatukana na kusonya! mnakaa kaa viambazani na watoto wa watu,

Hawakugundua kuwa ndani ya kitanda cha banco kuna mtu kwa namna kilivo pigwa flat, baada ya ile search ndiyo wakanambia shida yao ni nini!,,,,,
Mkuu umekosea sana kuuweka huu mkasa hapa. Kesi ya jinai haina ukomo. Kwa mtu anayefahamu hili tukio vizuri tayari atakuwa ameshakufahamu, na unaweza kuingia matatizoni tena.
 
Nilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nimecheka kifala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umekosea sana kuuweka huu mkasa hapa. Kesi ya jinai haina ukomo. Kwa mtu anayefahamu hili tukio vizuri tayari atakuwa ameshakufahamu, na unaweza kuingia matatizoni tena.
Ni kweli mkuu,km ingekuwa jinai! umesoma tangia mwanzo?
Sijakosea hata nukta! mpaka hapo sina hata chembe ya jinai! zaidi ya mapenzi na Manka. tena ungenishukuru kwa kumhifadhi! endelea utaona mambo yalivokuwa!
 
Duuuh ulipata ujasiri mkuu
Basi bana! katika lile kundi lililo nipiga search! kumbuka kuna Mzee wa makamu nilisha mng'ata sikio, kuhusu tukio zima la ile picha ilivo enda, na ikawa vile, pia alikuwemo!

Lakini baada ya search hawakuniacha hivi hivi, waliniuliza maswali mengi baada ya kumkosa ndani km hivi..
''Sema ulikuwa na Manka saa ngapi?''
Na mlifanya nini?,
Ulianza naye lini?
Ndo kamchezo kenu haka?
Kama umemtorosha utapata maatizo sema ukweli!

wengine sasa utasikia ''ukisema ukweli tu hatuna shida! yule ni mdada mtu mzima!''

Kwa kuwa nilishamsikia yule dogo aliye kuwa ametokea mpirani akitaja muda, na mimi nikataja mda huo huo! ili kupenyeza chembe za uongo mtakatifu unaofanana na ukweli nikasema

''ni kweli nilimuona muda wa saa tano, akipita karibu na kwangu, nilimsalimia tu, baada ya hapo sijui alielekea wapi!

Mzee niliye mtonya alicho kifanya usiku ule sasa, Baada ya watu kukata tamaa kuwa hayupo kwangu, yeye ndo akawa peer group Leader wa kuwahimiza kwenda kutafuta mbele na kwingine zaidi, ya maeneo ya nyumbani kwangu.

Katika huu muziki niliokuwa naucheza Baba mkuu, Siamini yalokuwa yanaendelea naliona kama Cinema flani hivi, na kwamba huenda watanirudia kupiga search upya! yaani ilmradi tu nilikuwa vile !

Huko mbele sasa Mzee wa mtonyo, akawa anazuga msisitizo, ''lazima apatikane tu'', na mimi huku nyuma nikafunga mlango wangu nikaungana nao tena,

Huku Moyoni nikisikitika kwa majuto na majonzi mazito, siyo namsikitikia Manka! ra hasha! nitakavyo kula kitanzi cha kuua maksudi, ......nikijisemea akilini kichwa wazi kaniponza!

Kundi likaendelea kutafuta mbele zaidi, ujue hapo wengine wamesha kata tamaa, wanaenda tu kwa kufuata mkumbo wakiwa na story zao, za hapa na pale! na wengine hasa wamama wamejiendea majumbani mwao!

Na wengine majirani zake walikuwa wanasema alikuwa ananyanyaswa hapo nyumbani kwao, mara alikuwa na kisirani, mara katoroshwa tu huyu binti mkubwa, ilimradi zoezi linaendelea!

Hatimaye kukawa kimyaaa!,
Mzee wa mtonyo sasa anavuta hisia za usikivu kotekote! maoni yao na mtazamo wao, kuhusu jambo hili, wakati anatafakari hayo, ananisogelea kwa chati, akasema ''hakuna kitu hapa haraka sana nikukute nyumbani kwako'' nikasema ''sawa''

Wakati hili zoezi la utafutaji linaendelea Mzee wa Mtonyo alijikausha kama hajui kitu vile! si kwangu wala kwa Manka!

Basi nikazuga kama nastukia sehemu za kiza kiza hivi kiutafutaji, mara nikapotelea huko kizani moja kwa moja mpaka nyumbani kwangu, polepole nikasubiri. hapo nilikuwa natembea kimachale sana nisionekane unajua kifo tena!

Yule mzee wa Mtonyo hakuchelewa sana naye akawa amefika, na kufanya yake, akasema nifuate nitakayo sema hii imesha tokea, usiseme ukisema! mimi simo, sababu nakusaidia wewe!.

Tukamviringisha marehemu Manka vizuri, ila palepale tatizo likajitokeza kwamba marehemu alitoa uharo mwingi, uharo huu tuliugundua baada ya kumgeuza geuza, na kumuweka uzuri,

Ujue hili lilikuwa ni zoezi la dakika chache sana, kwa mantiki kwamba tusijekutwa na umati tukiwa tunafanya haya! tukaubeba mwili wa Manka tukaondoka nao, Mimi mbele mzee nyuma! kwa masharti makali ''ukilialia! nakuachia huko huko mbele!''

Hapo kamvua kananyesha kwa mbaali, nikasema ''sasa wapi mzee?'' elekea kuleee! mara hivi, mara hivi, kidogo sana niachie mzigo, nilidhani km mzee ananiuza vile!

Wakati nawaza hayo Ghafla bin vuuu! bila kudhania, ilipiga Radi ni si kitoto!! ikawa kama imeturusha wote na ule mwili wa Manka, na kulala pembeni kwenye majani, lkn Manka akawa na alama Usoni!

Hapa na pale, tuka simama, Mzee kasema ''usishangae changamka sasa! huo uharo unauona?'' kuangalia nyuma yangu Daaaa! ni mchirizi wa uharo fyuuuuuu! mpaka nyumbani kwangu,........

Kwa ajili ya stress Macho yaliingia ndani, na midomo ilinikauka sana, tena pia nilisahau ndani kwangu kitambaa chake cha kichwani, niligundua wakati mzee alisha ondoka,

Hali ya salio la kitambaa ilinifanya kucheck kila mahali isije ikaweka kithibitisho! mbaya zaidi kifo nakiangalia hivi mpaka some times nakata tamaa!

Ilinichukua muda mrefu sana, nikimaanisha mrefu! kusahau hili jambo, kila nikivuta hisia mwili ulikuwa unasisimka, baadhi walijua na kunicheka, baadhi walinitia Moyo!

Nilifika mahali niliumia zaidi, pale Mdogo wangu wa damu, alivokuwa anatabasamu! wakati nipo kwenye lindi la maatizo,... tena basi kifo! sikushangaa nilijua ndiyo hali halisi ya ndugu!

Basi mkuu nikachukua kitu kama fagio hivi lililo chanua kwa mbele, nikaufagia ule uharo harakaharaka kwa ustadi, tokea nyumbani kwangu, mpaka pale penye mwili! but nyumbani kwangu nilikausha zaidi!

Kile kitambaa cha kichwani alicho kiacha, nilikitupa kwenye choo cha shimo, kupiga tochi hivi kikawa kinaonekana juu ya vinyesi! nikatupia mawe na udongo wapi, mara yaende pembeni, mara yafunike kidogo!

Nilitwaa jiti refuuu km ufito hivi nikakoroga kile kitamabaa kikawa kama kinyesi, Ok! nikahakikisha ndani pako shwari,

Asubuhi ya alfajiri na mapema kama kawaida SHILAWADU, wakaleta habari, Manka kapatikana maeneo fulani, lakini baba yake haamini kile kilicho tokea kwa mwanae!

Hapo sasa yakajitokeza makundi mawili, walio muunga mkono Baba yake Manka, na wasio muunga mkono! waliomuunga mkono ni wale waliopita maeneo hayo wakati wa kutafuta wakisema '' hapa! hapa! haiwezekani!

Lkn Baba yake Manka alisistiza kuwa, mlengwa hasa ni yule aliye kuwa na mwanae saa tano asubuhi. sababu story na maelezo kuhusu mwanae haya kwenda beyond saa tano asubuhi!

Na mtu pekee wa kuongea na Manka mida hiyo ni mimi, ukatokea ubishani si kidogo hapo, mzee wa Mtonyo naye akipiga mawe kwa mbaali, bila kutumia nguvu nyingi! ilikuniweka safe side!

Hapo ikabidi na mpenzi kindakindaki wa Manka atajwe na mdogo wa Manka! na akatafutwa, . kosa kubwa ni kwa nini hayuko hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikufumaniwa ila nilienda kugonga dirishani kumbe mmeo karudi yuko chumbani nikawa naita kwa jina mama zuhura fungua mara kibao kumbe linjemba linafungua mlango taratibu nashituka tu kumbe mlango wa chumbani kishafungu anafungua mlango wa mwisho wa nje kimya kimya mwanangu nilikmbia kama mbwa mwizi kwakuwa nilkuwa kitambi nilihema mfukilizo kama nataka kukata roho


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom