Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

Wale tuliowahi kufumaniwa tukutane hapa tupeane uzoefu wa jinsi ulivyookoka

[emoji23][emoji23][emoji23] ukabaki unamkodolea macho tu bi mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah

Bi mkubwa bana nakupenda sana
 
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah

Bi mkubwa bana nakupenda sana
Aisee hii aibu noma mkuu maana bi mkubwa kaona ukubwa wako aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah

Bi mkubwa bana nakupenda sana
Matako wazi......umefurahisha maana nilikuwa na uchovu balaaa, mwili umechangamka sasa hv
 
Nimecheka mnooo dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah

Bi mkubwa bana nakupenda sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah

Bi mkubwa bana nakupenda sana
Nimejikuta nacheka Sana dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah

Bi mkubwa bana nakupenda sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi hicho nafanya kazi kiwandani kwa wahindi kuna wasichana watatu walijipendekeza wenyewe nikawa nawakula kula ila wote hao sijawahi kuongea nao mambo ya ndoa, kumbe wenyewe walishashtuka kuwa wanaliwa na mimi,.

Siku moja wakapanga yao bwana, mmoja akanipigia kuwa anakuja geto mana anahamu ya kuliwa nikamkubalia muda mfupi akaja, tuko katikati ya romance ghafla wale wengine wakaingia ndani mana mlango hatukuufunga, aisee walivyoingia nikiwa bado nashangaa wakaufunga mlango kwa ndani. Aisee ilikuwa balaa humo ndani, bahati nzuri ile nyumba haikuwa na ceiling board ndo majirani wakapanda juu na kuingia kuja kuokoa jahazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ulipigwa au tatizo unasimulia sijui unakimbia wapi, relax mkuu leta story inayoeleweka ili watu wachukue funzo,

Story tamu lakn umeivuruga namna ya kuiwasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom