mica capacitor
Senior Member
- Dec 20, 2019
- 182
- 203
Vp Mkuu we huna ushuhuda? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]au nifanye kama jina lako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp Mkuu we huna ushuhuda? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]au nifanye kama jina lako?
Ikiwezekana sababu daahVp Mkuu we huna ushuhuda? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]au nifanye kama jina lako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hamna kinyaaMimi sikufumaniwa lakini nilikula demu wa mfumaniwa. [emoji3][emoji3] nilienda kwa mshikaji kubonga nae issue flani hivi ya maana, sasa wakati naongea na jamaa mara jamaa akamuona demu wake yulee anakuja. Jamaa akaanza kutetemeka kinoma kumbe ndani anakidemu kakificha, akaniambia ingia ndani jifanye huyo demu ni wakwako. Basi mi nikazama ndani mpaka chumbani natupa macho kitandani nakutana na pisi moja hivi ya maana kinyama. Demu akashtuka nikamuambia wewe teyari umeshafumaniwa haoa nimeambiwa nije tujifanye sisi ni wapenzi kwahiyo kila ntakachokuambia unafanya sawa? Mtoto akakubali huku anatetemeka kinoma. Basi bhana kuna mikondomu jamaa alikuwa ameitupa chini baada ya kugegeda nikaizoa ili demu wake atakapoingia kule chumbani asiione. Nikamshika mkono yule demu nikamuambia nifuate tukaingia chumba cha wageni muda simrefu jamaa nae akazama chumbani na mtu wake. Nilipiga kimoja cha fasta kisha nikatoka nae moaka kwangu, aisee siku hiyo nilikula mzigo balaa [emoji3][emoji3] halafu nilijipigia bila hata ndomu. Kila siku ikawa ndo mchezo wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah
Bi mkubwa bana nakupenda sana
Nimeipenda ! Maana hata mshikaji wangu iliwahi mtokea akamaliza kwa style hiyoMimi nilifumaniwa tena mbele ya kadamnasi, ikabidi nimeze karatasi yangu ya honda kupoteza ushahidi.
Ulikuwa n mtihan wa maths supplementary.
Makofi yalikutoa makovu mzee???? [emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji16]Nilichezea makofi Hadi Leo Nina makovu
Wewe aujafumaniwaaa mzeeBinafsi mm nimewahi kufumaniwa kama mara mbili hivi, mara ya kwanza niliopoa kadem kalikokuwa kanasoma chuo sasa siku moja ya jumamosi wife yy akiwa ameenda ofisini kwake nika kaita kaje nyumbani, alivyokuja nika mgegedea kwenye chumba cha house girl yy pia hakuwepo, mara paap nasikia geti linagongwa kuchungulia ni wife nilimchukua yule demu na kwenda nae bafuni sehemu ambapo tuna pendaga kufulia nikachukua nguo zote chafu, safi na mashuka nikamfunika huku nikijidai kuwa nafua baada ya hapo nikaenda fungua geti. Wife alivyoona nina mzigo mkubwa wa nguo alinihurumia nikamwambia inabidi nipambane tusimsubirie house girl ambaye alikua ameenda na watoto kwa bibi ya wakati wa likizo. wife alichukua document alizokuwa amezisahau kisha akasepa mm nikaendelea na mgegedo.
Embu wadau tupeni visa vyenu ilikuwaje ukafumaniwa
Nilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
Ulikua mtindo wangu kila usiku sa sita sita ivi watu wamelala mimi nanyata kuelekea chumba cha beki tatu tandika mechi safi naenda kulala zangu najiona bingwa mwenyew kalikua katamu jamni [emoji16][emoji16] basi 40 zikafika siku iyo nimenyata kama kawa nkaingia tukaanza mchezo siku iyo ilikua tamu kweli kweli mana sikusikia hata bi mkubwa akifungua mlango nkaona taa imewashwa tu aisee aliwaka pigwa makofi ya uhakka na beki tatu nae alichezea keleb za kutosha, msala uliisha kijuujuu tu japo alikuja kuondoka mana sio kwa aibu ile dah, sasa mda umepita tukawa sebuleni tunaangalia ze comedy tbc ikafika ile segment mwishon masanja anawachana watu wanaozingua si akaleta pigo za “na wale usiku ukifika mnanyata kwenda geto la mabeki tatu mpo mmetulia mnaangalia show!” maza alicheeeka kwanguvu nlijiskia vibaya [emoji1787][emoji1787] dah kitambo sana.
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah
Bi mkubwa bana nakupenda sana
Hakuna fumanizi hapoIla bana wanawake wanaakili nyingi sana pindi umefumaniwa huwa hawapanic kama wanaume. Game ilianza muda wa saa mbili ucku beki 3 wa jirani yuko home peke yake nyumba ni gorofa moja, ile tu nimeingia ndani tunataka kuanza mechi mlango unagongwa, Kuchek ni boss wake amerud. Kwanza mashine ilisinyaa ikawa kama haipo kbsa nyege zote zilikimbilia kwenye uti wa mgongo. Kule ndani sasa nikafichwa Chumba cha beki 3 kiko karibu na choo cha ndani. Huyu boss akawa anapita kwenda choon wakat nimejibanza nyuma ya mlngo ile tu anapita nikasikia anasema mbona hujafunga mlngo na mbu wanaingia?huku anavuta mlango kwa nje ili aufunge yaan nikajikuta napanwa na haja ndgo kwa uoga.
Basi akapita kwend chooni alipofunga tu mlngo wa choo nikatoka spidi kumbe dem tyri alifungua mlngo wa kutoka nje nilifika pale ckupunguza spidi kama yale magari kwenye msafara wa jpm. Zile ngaazi nilikuwa naruka kama nne nne hivi mpka kufika chini.
Sikutaka kumrudia kbsa yule dem ikawa nikikutane Naye anacheka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah
Bi mkubwa bana nakupenda sana
Aiseeeeee unaweza tamani uwe nzi ili upae hewani upotee..... Halafu mbaya zaidi unamuomba big mkubwa msamaha hajibu kituNilifumwa na bi mkubwa namla beki tatu, hii aibu hadi leo kila nkikumbuka natamani kulia tena alinifuma ndo nakojoa cha kwanza nimesimamia ukucha mara pap taa inawashwa afu bi mkubwa anatupimia [emoji119][emoji119]
Niliwahi kufumaniwa na bro ang nikimla ausi geli ..lakini na yeye apo apo akamla..dah bro bana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ujanja basi hapo bao linatoka tena taaamu balaa huku msala nkawa namtazama kwa huruma Natafta kaptula ilipo uku bao linashuka taratibu beki 3 kakimbilia blangeti anajificha sura nlipokea makofi mazito huku nakimbia room kwangu matako wazi hahahah
Bi mkubwa bana nakupenda sana
Bao LA kusimamia kucha
😁😁😁Aisee mimi nilifumaniwa na sms, ilikuwa jumamosi moja hivi tupo na wife bed tunetumzika unajua tena jmosi uchovu na nini sasa nikawa na chati na binti mmoja mrembo sana mtumishi wa umma tumechat kwa sms zote mpaka tukaafikiana location na atangulie achukuwe room kabisa mara paap bint amefika room akarusha picha yupo location tayari kwa game anakula santiana mimi fasta nikaingia bafuni nikapiga maji huyo niwahi mgegedo nikamuaga wife naenda kuchek game ya mpira nimefika kwenye tukio huku napasha kwa bia mbili tatu full kushikana na binti mara simu ya wife ikawa inaita akaniuliza niko wapi ni mwambia nachek game mahali fulani nikapataja akasema una hakika nikasema ndiyo akasema basi poa.. dakika mbili baadaye nikona kwenye simu zangu mvua za sms zote tulizokuwa nachat na binti mh...nilipagawa nilikuwa mdogo kama piriton nikaharisha game hapo hapo nikasepa zangu huku nyuma kilichotokea nitaweka uzi hapa siku moja ngoja siku zisonge kidogo.