Pole mkuuHbari wanaJF huu ni uzi maalum kwa wale ambao tuliwahi kukumbwa na kadhia ya polisi kama kukimbizwa, kukamatwwa,kukamatwa ukizirura kugoma shule polisi wakaja kuwapiga virungu na harakati nyingine za mtaani ukikutana na mapongo karibuni tujikumbushe machungu maana wale jamaa balaa tupu.
Aiseee....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mimi nilikamatwa usiku saa saba nilikuwa natoka kutafuta mademu kipindi kile nipo chuo. Waliponikamata walinipeleka polisi nikapigwa mkwara mpaka mkojo ukatoka maana waliniambia watanipiga risasi kama jambazi.
Ilipofika muda baada ya kuwaambia mimi mwanafunzi wakanichukua wakanipandisha yale magari yao wakanipeleka mpaka chuo. Kufika chuo wakaniambia niwaletee mademu. Mimi nikasema poa nikaingia wing yangu nikabadilisha nguo nikalala
Polisi siwapendi kabisa bora wafe wote hata walioko huku jf nawachukia kabisa
Pole sana Mkuu
Mimi nilikamatwa usiku saa saba nilikuwa natoka kutafuta mademu kipindi kile nipo chuo. Waliponikamata walinipeleka polisi nikapigwa mkwara mpaka mkojo ukatoka maana waliniambia watanipiga risasi kama jambazi.
Ilipofika muda baada ya kuwaambia mimi mwanafunzi wakanichukua wakanipandisha yale magari yao wakanipeleka mpaka chuo. Kufika chuo wakaniambia niwaletee mademu. Mimi nikasema poa nikaingia wing yangu nikabadilisha nguo nikalala
Polisi siwapendi kabisa bora wafe wote hata walioko huku jf nawachukia kabisa
Duhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Nakumbuka kuna mademu wali kuwa wanapigana hostel mi nikaenda kuwatoa nikamshika yule aliekuwa anatembeza sana kichapo sana kwa mwenzie nikamuacha yule aliekuwa anapigwa apate Hata nguvu ya kusimama kwanza. Alivyosimama si akatimua mpaka polisi akasema na Mimi nilishiriki kumpiga,tukawekwa hapo buguruni hapo. Saa 2 usiku but mpaka saa Tano hivi Tukatoka..sikupenda Yaani alinikwaza sana.
Kilichoniuma yule demu siku mgusa Yaani sikumpiga halafu akasababisha niwekwe ndani,nilimkomesha kimya kimya siku ya pili alikuta begi lake la Nguo zinaungua na moto,hakuokoa Hata Nguo moja akabaki analia,alishindwa Hata kutuuliza aliishia kuhama room yetu...
Duhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hatari sana.....
HAHAHA POLE SANA MKUUU HALAF HAWANA POLITE LANGUAGEKuna askari huyu ambaye alikuwa anasumbuana na Heche aliwahi kunikamata kazini kwangu, Ila uzuri nilijua anakuja kunikamata nilikaa nje nikamsubiri.
Polisi muda mwingine mnakera sana
pole sanaNakumbuka kuna mademu wali kuwa wanapigana hostel mi nikaenda kuwatoa nikamshika yule aliekuwa anatembeza sana kichapo sana kwa mwenzie nikamuacha yule aliekuwa anapigwa apate Hata nguvu ya kusimama kwanza. Alivyosimama si akatimua mpaka polisi akasema na Mimi nilishiriki kumpiga,tukawekwa hapo buguruni hapo. Saa 2 usiku but mpaka saa Tano hivi Tukatoka..sikupenda Yaani alinikwaza sana.
Kilichoniuma yule demu siku mgusa Yaani sikumpiga halafu akasababisha niwekwe ndani,nilimkomesha kimya kimya siku ya pili alikuta begi lake la Nguo zinaungua na moto,hakuokoa Hata Nguo moja akabaki analia,alishindwa Hata kutuuliza aliishia kuhama room yetu...
Ha ha ha ah. Maisha yanatufanya tuishi ambavo hatukuwahi tarajia. Hasa ukiongozwa na hasiraDuhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hatari sana.....
Duh!!!mbona wamewaweka siku nyingi hivyo vituoni,kwa nini hamkupandishwa mahakamani?