Wale tuliowahi kukutana na mikasa ya polisi, andika chochote kujikumbusha maumivu

Walinikamata nilikuwa naiba mikake gari la mikate lilipinduka
 
Laa, ni kisasi kibaya sana ulimfanyia!

Sent by Nokia E5 using Jamii Forums mobile app
 
Hapo stakhishari nmelala kma mara 7 ivi
Ukakutana na akina Mgosi, Filipo eeee na akina Afande Fatuma.
Ila ni rumors tu.
Mbona mie nimekaa kwa siku zote wala sijapata hekaheka wala nini.
Sema wale kunguni ni balaaa.
Kunguni kama mchanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…