Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo stakhishari nmelala kma mara 7 ivi
We mrembo upo...?!Nilikamatwa Na Bange border nikawekwa lockup. Na ilikuwa a week to my wedding.
Humo lockup asikuambie mtu. Harufuuuu mbaya ya mikojo, cold floors. Lol.
Ilikuwa biashara au ya kuonja?Nilikamatwa Na Bange border nikawekwa lockup. Na ilikuwa a week to my wedding.
Humo lockup asikuambie mtu. Harufuuuu mbaya ya mikojo, cold floors. Lol.
Pole kaka
Laa, ni kisasi kibaya sana ulimfanyia!Nakumbuka kuna mademu wali kuwa wanapigana hostel mi nikaenda kuwatoa nikamshika yule aliekuwa anatembeza sana kichapo sana kwa mwenzie nikamuacha yule aliekuwa anapigwa apate Hata nguvu ya kusimama kwanza. Alivyosimama si akatimua mpaka polisi akasema na Mimi nilishiriki kumpiga,tukawekwa hapo buguruni hapo. Saa 2 usiku but mpaka saa Tano hivi Tukatoka..sikupenda Yaani alinikwaza sana.
Kilichoniuma yule demu siku mgusa Yaani sikumpiga halafu akasababisha niwekwe ndani,nilimkomesha kimya kimya siku ya pili alikuta begi lake la Nguo zinaungua na moto,hakuokoa Hata Nguo moja akabaki analia,alishindwa Hata kutuuliza aliishia kuhama room yetu...
Fresh tu kwangu,kuliko roho mbaya aliyokifanyia yeyeLaa, ni kisasi kibaya sana ulimfanyia!
Sent by Nokia E5 using Jamii Forums mobile app
Hahaaa. Nipooooo
Ya kuonja tu best
Itakuwa walikukuta na ID ya chama cha vijana wengi nini?
Tulikuwa tunasubiri uchunguzi.Duh!!!mbona wamewaweka siku nyingi hivyo vituoni,kwa nini hamkupandishwa mahakamani?
-Ndumilakuwili-
Ukakutana na akina Mgosi, Filipo eeee na akina Afande Fatuma.Hapo stakhishari nmelala kma mara 7 ivi