Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nina madogo wawili aisee huwa siongozani nao na tukiwa tunapiga story huwa napenda tukae kwenye kiti au chini mana ni aibumdogo wangu wa mwisho kazaliwa 2004 nimemzidi miaka zaidi ya kumi ana futi 6.5 na mimi kaka yake eti futi 5.8 this is not fair, maza itabidi abanwe na aeleze kinagaubaga hii mbegu ya uyu dogo ni ya wapi
Japan kuna sehemu inaitwa hilo jina la mtoa mada.Hiyo id name aiseee
Ma - great thinkers tunakomenti humu?
Oooh kumbeeJapan kuna sehemu inaitwa hilo jina la mtoa mada.
Ndio mkuu,mpk kuna jina kama kumamoto huko Japan mkuu.Oooh kumbee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mdogo wangu wa mwisho kazaliwa 2004 nimemzidi miaka zaidi ya kumi ana futi 6.5 na mimi kaka yake eti futi 5.8 this is not fair, maza itabidi abanwe na aeleze kinagaubaga hii mbegu ya uyu dogo ni ya wapi
Ooohhh sawasawa asante kwa kunifungua machoNdio mkuu,mpk kuna jina kama kumamoto huko Japan mkuu.
Pamoja mkuu.Ooohhh sawasawa asante kwa kunifungua macho