WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Bora uwe mfagia choo ulaya kuliko kuwa mwl mwenye degree hapa Tanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umehitisha Uzi.Africa watu wanaishi kwa mipango kweli.
Kuna sehemu nilikutana na wadau mshahara sisimizi na unatoka tarehe 40, ila wanakuambia hapa hatuondoki mipango mingi hata tusipolipwa pesa haikauki.
Bora uwe mfagia choo ulaya kuliko kuwa mwl mwenye degree hapa Tanganyika
Bora uwe mfagia choo ulaya kuliko kuwa mwl mwenye degree hapa Tanganyika
Yap na Kazi bado naipenda.Duuuuh, dunia simama.
Yaani unamaanisha laki na Arobaini mwaka huu 2023?
Halafu kazini wanachoshangaa SIJAWAHI KULALAMIKA.Hapo dawa ni kujilipa tu.
Dawa ya moto ni moto na si maji.
Serikali kiziwi nasisi watumishi tuwe viziwi
AhahahaHalafu kazini wanachoshangaa SIJAWAHI KULALAMIKA.
#YNWA
Nipeni mimi hii jamani inanitosha nyumba na jenga , gari nanunua naishi kitajiri aisee kweliUnaishi kimaskini sana,
5.8M?, inabidi ujibane sanaa.
Maisha tu. Kuna mwalimu alikopa milion 3, sasa hakuangalia vizuri kuhusu kulipa deni pamoja na riba kwahiyo anatakiwa alipe milion 9.Haya Ni maajabu duniani...unaendesha Four Wheel Kwa 140,000 au ni mjasiriamali au mwizi