Wale tunaorudi nyumbani usiku mkali na hatuna uhakika wa kufunguliwa geti tupeane mbinu

Tunakuwa na funguo zetu, tabu ya kupanga tofali au kuamsha waliolala ya nini...!!!
 
Write your reply...ni muhimu kuwa na small house akikataa naenda lala huko hanioni siku kama 3 technically hawez rudia huu ujinga jaribu hii njia kamwe hutojuta
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Wale wa nyt kali na mageti ndio hvyo yashafungwa mnatumia mbinu gani?

Mimi huwa napanga tofali naruka ukuta,hapa ndio narud nishajipanga,

Bongo nyoso
 
Sasa hilo geti si mtengeneze funguo nyingi kila mtu ashike ya kwake kuruka ukuta ukivunja miguu hasara kwa nani
 
Tafuta dawa ya kichawi, jigeuze sisimizi, utapenya kirahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…