Dah....Kwanza nimecheka Kisha nimepata tumaini kwamba siko pekeyangu.....Mi huwa narudi kulala ofcn..Mimi ndio was mwisho kurudi nyumban 6 au 7 so Mimi ndio mfunga get... Sometimes nakuta limefungwa hapo sisumbui mtu Bali namlaani mfungaji(kimoyomoyo)...Narudi ofcn Mana sio mbali na ofisi.