Starboywiz
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 867
- 1,455
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu mimi nawewe ni wasaliti, lakini wewe umevuka na hatua nyingine kabisa. Umekua mnafikiHahahaha.. Mkuu nilikua nachangamsha genge.
"Once a Tanzanian, Always a Tanzanian."
Huyo jamaa nimetamani nimtukane tusi lakini nimeona nitajidharirisha plus ban jamaa jinga hili sijui kama linajua mpira.Unaudhi sana we jamaa/dada....Kina Manji,Zakaria,Manara na Mo walikuwa/ni CCM zaidi yako....nyie ndo mnavunja moyo watu kuipenda nchi yetu.Kila kitu mnataka kionekane uCCM badala ya uTanzania.
MCape Verde chali kifo cha mendeMkuu baada ya kushinda leo.. Sisi (Cape Verde) tutakua na pointi 7 huku nyinyi mkibakiwa na pointi zenu 2. Hapo zimebakia mechi 2, ambapo tukishinda mechi 1 tu, hamtukamati.
Nyinyi mtabakia na mechi 2 ambazo zote mnatakiwa mshinde. Angalizo kati ya hizo mechi mojawapo mtakutana na Uganda inayoongozwa na Okwi.. Mnatokaje sasa?!!
Hahahaha.. Mkuu wahenga wanamsemo wao.. "If you can't beat them.. Join them". Nawe ufanyie kazi.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu mimi nawewe ni wasaliti, lakini wewe umevuka na hatua nyingine kabisa. Umekua mmafiki
Huu ndo uzalendo wa kweliMini ni shabiki wa Taifa stars...
Baada ya mechi sitaki shobo na mtu..
Maana najua tu.. leo lazima tushinde
25% ila bado hukawa haukiaminì kikosi hahahahaHahaha.. Sasa Mkuu katika timu, zaidi ya 25% ni 'vijana wangu' kwanini nisiisupoti?? Taifa Stars ni chama langu.
Mi nsharudi kitambo mbona, karibu nyumbani japo ndugu zetu bado hawajatupokea vizuriHahahaha.. Mkuu wahenga wanamsemo wao.. "If you can't beat them.. Join them". Nawe ufanyie kazi.
Utaifa kwanza.. kiongozi wanguHuu ndo uzalendo wa kweli
Hahaha.. Ni hasira tu za mda.. Naamini watatupokea.Mi nsharudi kitambo mbona, karibu nyumbani japo ndugu zetu bado hawajatupokea vizuri
Mimi hata sirudi[emoji23][emoji23] Najua haifiki popoteHahaha.. Ni hasira tu za mda.. Naamini watatupokea.
Mimi hata sirudi[emoji23][emoji23] Najua haifiki popote
[emoji28][emoji28][emoji28]Mimi hata sirudi[emoji23][emoji23] Najua haifiki popote
Hahaha.. Mkuu kitendo cha Amunike kilituudhi wengi sana, lakini kwa sasa naona akili ishaanza kumkaa vyema. Tumsamehe na tumpe sapoti.Mimi hata sirudi[emoji23][emoji23] Najua haifiki popote
[emoji23][emoji23]Hahaha.. Mkuu kitendo cha Amunike kilituudhi wengi sana, lakini kwa sasa naona akili ishaanza kumkaa vyema. Tumsamehe na tumpe sapoti.
Naunga mkono hoja!Mliokuwa mnashabikia Cape Verde nendeni hukohuko Cape Verde nyie ndio mnaoleta nuksi Taifa Stars,mkishabikia Stars inafungwa mkiondoka tunashinda,bakini hukohuko ugenini
Baki hukohuko ukirudi utasababisha tusifuzuMimi hata sirudi[emoji23][emoji23] Najua haifiki popote
Kwani mtafuzu basi? Ha ha ha tupo hapa[emoji23][emoji23]Baki hukohuko ukirudi utasababisha tusifuzu
Hamna uzalendo, na wengi wenu ni nyumbu, mmenisikitisha sana.Kwenye huu uzi wa tunaoshangilia Cape Verde hawa mashabiki wa Shithole Country wametoka wapi? kafungueni uzi wenu mkashangilie huko eboo
Uzalendo sina ndiyo, thanks lord mimi sio kati ya hao wengi unaowaita nyumbu. so what?Hamna uzalendo, na wengi wenu ni nyumbu, mmenisikitisha sana.