Wale tunaoshangilia Cape Verde, huu ni uzi wetu

We mtu ni mshamba sana....unadhani nchi ya babaako hii? Taifa stars na Bavicha vinahusiana vipi...uwe unaacha upuuzi au shoga wewe?.
Ukweli ni kwamba wengi wanaotaka tz tufungwe ni bavicha. Check their previous post. Pessimistic people who only see negative.
 
Unaudhi sana we jamaa/dada....Kina Manji,Zakaria,Manara na Mo walikuwa/ni CCM zaidi yako....nyie ndo mnavunja moyo watu kuipenda nchi yetu.Kila kitu mnataka kionekane uCCM badala ya uTanzania.
Acha jazba, chunguza. Kwani wanaoilaumu serikali kwa kutekwa akina mo etc, ni nani, utakuta ni bavicha.
 
Nimefuatilia mpira mwanzo mwisho ZBC2. Wewe hata usemeje haikusaidii kitu leo. Fuatilia wenzio waliokuwa wanashangilia Cape Verde hapa hapa.
Sasa umefuatilia mpira habari za Bavicha zimetoka wapi? Hukuwa na namna nyingine ya kuwasema hawa waliokuwa Cape Verde.Sasa najua kwanini FIFA wanakataza Mpira usiingiliwe Kwa namna yeyote ile na maamuzi ya nje ya mpira.Isingekuwa hivyo watu kama nyie mngeharibu mpira maana mngeanza kujimilikisha kichama Timu ya Taifa.Fifa waliona mbali
 
Hivi unafikiri ukocha ni kuita mastaa tu?! Uliza kikosi cha Argetina na matokeo wanayopata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…