Wale tunaoshangilia Cape Verde, huu ni uzi wetu

Wale tunaopenda soka tamu na la kushambulia na lenye matokeo kama wanavyocheza Cape Verde, njooni tukutane hapa.

Leo tuwafunge ngapi hao wenyeji wetu Taifa Stars? Mimi nadhani 2-0 itwatosha, tusidhalilishe wakiwa kwao.

Karibuni...
Abracadbra
 
Haya ndo mambo kila Mtanzania anataka kuyaona.. Kila la heri Taifa Stars.
 
Wale tunaopenda soka tamu na la kushambulia na lenye matokeo kama wanavyocheza Cape Verde, njooni tukutane hapa.

Leo tuwafunge ngapi hao wenyeji wetu Taifa Stars? Mimi nadhani 2-0 itwatosha, tusidhalilishe wakiwa kwao.

Karibuni...
Imekula kwako.
 
Hakika wewe ni mbumbumbu hutobadilika tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…