harfiz allyy
Senior Member
- Sep 28, 2023
- 157
- 248
Mimi nikajua account za maokoto, Stanbic, Citi Bank, Bank of Africa,Exim kumbe account za kusaka uteleziAccount JF au?
Na video na picha asingeacha kuvianika jukwaaniππMgekutana na kufanya yenu ung'ekuja kuanzisha Uzi pia.
zamani ulikuwa unafanya hivi mkuu?hata Mimi nilikuwa nafanya zamani sio SasaMimi huwaga natetea sana ujinga humu, ila huu ujinga sitetei ni wakizamani. Nasubiri wataokuja kusema wanafanya ushamba huo.
hata bank account ninazo mbili njo nikugaie moja.Nilivyokuja mbio nikijua bank accounts π§π§
hongera sana aisee ππ....hata bank account ninazo mbili njo nikugaie moja.
tatito umefunga pm
nimekutana naokibao sijaanika chochote huyu ningemuanika haswa mana alikula helazangu nyingi naakawa janjajanjaMgekutana na kufanya yenu ung'ekuja kuanzisha Uzi pia.
unapenda nitakayo kupa iwenasalio kiasigani mrembomzurihongera sana aisee ππ....
Tatizo zinaweza zikawa 2 halafu zina million mbili mbiliπππππ
Kama hata zina milion 2 zina nafuu.. mi sina hata laki 3 kwenye akaunt zote 6 ukichanganya kwa pamojahongera sana aisee ππ....
Tatizo zinaweza zikawa 2 halafu zina million mbili mbiliπππππ
Kumbe umepigwa na kitu kizito kichwani kwa hiyo umetoa machungu, ndo kuingizwa kingi hapo.nimekutana naokibao sijaanika chochote huyu ningemuanika haswa mana alikula helazangu nyingi naakawa janjajanja
Inakuwa ushajua mazaifu yake sioAkaunt ya kwanza tunakua washkaji.
Akaunt ya pili nakupopoa mbaya
Shida ni kwamba sina njaaππunapenda nitakayo kupa iwenasalio kiasigani mrembomzuri
Natania bwana.Kwanza nina akaunt 1 tu.Na nina washkaji wawil tu hapa.Inakuwa ushajua mazaifu yake sio