Wale tunaotumia akaunti zaidi ya moja tukutane hapa

Wale tunaotumia akaunti zaidi ya moja tukutane hapa

We unafikiri mimi nimefikishaje hiz 6?
Yan mi sioendagi kuwakatisha tamaa watu wa sales wa ma benk.Wakinishawishi kufungua akaunt wala sina hiyana, nafungua tu! ๐Ÿ˜…
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,, hujawahi kufikiria kutoa ile hela ya kufungulia kama ingekua inatoka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™ˆ
 
inakuwa ngumusana kuzikontroo.
mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk

nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock

nikamfata Kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana ananijua
ngoja waje
Kweli wewe ni tatizo
 
Back
Top Bottom