Unamaanisha Account za bank mkuu?inakuwa ngumusana kuzikontroo.
mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk
nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock
nikamfata Kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana ananijua
Yako ulishaitoa? Yangu itabaki hadi kufaulivyokuwa bikra ulikuwa hivyo mkuu
Yani we acha tu😃😃😂unapenda pesa manka
Yani😬😬😂😂Unajiona unavokunjika wakati upo kibo🤣
yap njoo pm nikugaie mojaUnamaanisha Account za bank mkuu?
Basi rekebisha thread yako. Maana itakosa wachangiaji. Miaka zaidi ya kumi watu waliacha hayo mambo.zamani ulikuwa unafanya hivi mkuu?hata Mimi nilikuwa nafanya zamani sio Sasa
haya nawewe leta ushuhuda mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],mnavitukoInakuwa ngumusana kuzikontroo.
Mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk
Nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela nikamblock
Nikamfata kwa akaunti nyingine kakubali freshi tuu alivyo niomba picha nikaachana nae mana ananijua
Enzi naujana lakini😉[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],mnavituko