Wale tunaovaa Barakoa tupeane experience jinsi ya Kuvaa, mwenzenu inaniletea matatizo

Chagua kubaki nyumbani au funika mdomo na pua lipi unaloweza kati ya haya.
Kubaki nyumbani nafuu. Halafu ukivaa Barakoa unakuwa kama Mgonjwa wa COVID-19.
 
Ndugu zangu watanzania tupo ktk janga la Corona na Wizara ya Afya imetoa njia za kujikinga na janga hili ikiwa ni pamoja na uvaaji wa barakoa ktk sehemu za mikusanyiko.

Lakini jambo la kushangaza baadhi yetu wanavaa barakoa lkn unakuta barakoa ipo chini ya kidevu au barakoa imejaa mdomoni, tena unakuta mtu mzima anavaa barakoa kisanii

Tuache masihara tutapuputika kama tunapuuza.

tuchukue tahadhari korona inaua.
 
Barakoa za ndani za vitambaa inafuliwa toka October 2019 ilianza corona bado mhusika anaitumia.
 
Ingetolewa elimu ya uvaaji wa barakoa,usafi wa mikono,inapaswa kubadilishwa mara ngapi,kama ya kitambaa inasafishwa vipi n.k
 
Sio kuwa hawajui matumizi ya barakoa ila wanavaa kama fashion mkuu.

Hii ni kwa sababu ugojwa wa Corona umekuwa kama popo bawa. Utasikia tu alipita hapa, jana alikuwa kule. Ukienda kuwauliza wahusika wa eneo lile nao hawajui wanasikia alikuwa ulipotokea wewe.

Corona imekuwa kama changa la macho. Mtaani kwako huoni wanaochukua tahadhali na misiba huoni. Ugonjwa umebakia vinywani mwa wanasiasa.
 
Juzi Mo Dewji anaulizia namna ya 'kumetchisha' barakoa na nguo ili tu apendeze…. tajiri jinga kabisa.
Kuna mwanangu alikua anakubali sana mo na alikua role model wake, na jamaa alikua hamkubali mondi balaa. Sasa ile mo kaenda studio za wasafi na kuanza kucheza singeli jamaa alimshusha vyeo vyote😁😁.

Hawa watu mashuhuri kuna namna inabidi wabehave wanaangaliwa na wengi sana.
 
Mdomoni barakoa chini condom
 
kama una changamoto za kupumua ndio unapaswa ung'ang'ania kuvaa barakoa haswa, maaana ukijifanya unashusha barakoa chini ya kidevu kutoa pua lako nje uvute hewa hapo ndipo unavuta kirusi cha korona awamu ya 3.
lkn kuna wengine wanauza sura![emoji1787]
hivi inawezekanaje unauza nyago mbele ya kifo? hivi unawezaje kuhatarisha uhai wako kwa kisingizio cha kukosa hewa?
hivi kweli ndugu zangu watanzania hayo ni maarifa au?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…