Mm nawasha saa1800pm mpaka 0800am natumia unit 1 kasoro ikiwaka 24hrs inatumia ukit1
Kuna mechanism gani hapo mkuu..Kadiri friji inavyopungukiwa vitu ndivyo inavyokula umeme
Jr[emoji769]
friji za kuanzia mwaka 2016 na kuja juu zenye inverterd Compresor azili umeme kabisa, watanzania wengi tunatumia used friji zenye zaidi ya miaka 10 toka UK na hizi zenye compresor za kawaida n.k hizi zinakula sana umeme, bora ununue friji kwa 1Millions na utumie units 200 mwaka mzima kuliko nunua friji laki tatu mpaka sita na kutumia umeme units 12000 kwa mwaka. baada ya hii misuko suko ya corona tutaanza uza convertion kits za inverted compresors kwa wenye friji mitumba na hizi zenye compresors za kawaida! na sio friji ata wenye magest houz wanapata garama sana kulipia AC zinazobugia units za luku kama ngombe mwenye kiu ya majiWale wenzngu na mimi tunaowasha friji kwa masaa kadhaa na samaki na nyama wakiganda tunazima mpaka siku ya pili mupo?
Nafanya hivi kuepusha gharama za units kwenda kama nyumbu bora tupunguze makali mana hapa mjini maisha kuungaunga aisee.
Kuna wadau wanawasha masaa 24 hawa wana vitu vingi na mapochopocho sisi pangu pakavu tia mchuzi tunawasha asubuhi mpaka saa saba nyama na samaki wakiganda tunali off mpaka kesho asubuhi.
Wewe unatumia njia gani kusave units?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nawasha saa1800pm mpaka 0800am natumia unit 1 kasoro ikiwaka 24hrs inatumia ukit1
Wakati unanunua unasoma specification za fridge mm natumia samsung subiri nitakusomea inakula unit ngapi kwa mwaka
Kujizima na kujiwasha ni kawaida ila zina specifications na models kama simuDah mimi nilinunua mtumba kwa 230K niliagiza sehemu tokea mwaka 2016 mpwka leo inaoiga mzigo ila kuna time huwa inalia na kujizima then inajiwasha tena na mchskato ni huo huo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sijawahi kufika hata darasa la 3 mkuu
Hapana sijawahi kufika hata darasa la 3 mkuu
Subiri muwekwe kwenye lockdown. Mtawasha 24/7 bila kupendaWale wenzngu na mimi tunaowasha friji kwa masaa kadhaa na samaki na nyama wakiganda tunazima mpaka siku ya pili mupo?
Nafanya hivi kuepusha gharama za units kwenda kama nyumbu bora tupunguze makali mana hapa mjini maisha kuungaunga aisee.
Kuna wadau wanawasha masaa 24 hawa wana vitu vingi na mapochopocho sisi pangu pakavu tia mchuzi tunawasha asubuhi mpaka saa saba nyama na samaki wakiganda tunali off mpaka kesho asubuhi.
Wewe unatumia njia gani kusave units?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawi upi unatumia ?Mm nawasha saa1800pm mpaka 0800am natumia unit 1 kasoro ikiwaka 24hrs inatumia unit1
Nakuona nakuona unavyodanyangaHapana sijawahi kufika hata darasa la 3 mkuu