winlicious
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,006
- 1,151
Mazaga zaga tu ndugu, mboga mboga na viporo, na kipindi hicho ilikua kama fashion kuwa na friji kama ilivyokua tv... Lile friji bado linapiga kazi mpaka leo ingawa limechoka kimuonekanoMwaka 1998 mlikuwa mnaweka nini humo kwenye friji??
Hahahaaaa kwanini mkuuFridge za ushuani hizo
Zina last longerHahahaaaa kwanini mkuu
Siku hizi fashion imeingia kwenye kuwa na babywalkerMazaga zaga tu ndugu, mboga mboga na viporo, na kipindi hicho ilikua kama fashion kuwa na friji kama ilivyokua tv... Lile friji bado linapiga kazi mpaka leo ingawa limechoka kimuonekano
Nimeiona logicSio chai mkuu. Ni kwamba vile vitu vikishika baridi vinasaidia ku maintain ubaridi kwenye compartment kuliko ambavyo vingekuwa vichache. Hii dhana inatumika hasa kwenye freezer
pamoja mkuu, samsung pia na inakula 1unit 24hours!.Wakati unanunua unasoma specification za fridge mm natumia samsung subiri nitakusomea inakula unit ngapi kwa mwaka
Watu hawajui kua ukiiwasha fridge bila kuizima ndo inatakiwa na ndio inasave energy na itadumu pia, but kuiwasha na kuzima kila wakati ni kuiharibu fridge na haiwezi kudumu na unaua fridge na ndipo inapokula umeme sana kila ukiiwasha tena na tenaMimi Friji,friza zote zinawaka 24 hrs/366days.
Kuiharibu kwa kuzima na kuwasha?; Sio kweli. Muda mrefu nilikuwa sipiki kwahio friji inajaa maji,juices,jam,butter etc hamna msosi wa kupika. Nilikuwa nazima friji asubuhi nawasha usiku nikirudi Hadi asubuhi tena.Watu hawajui kua ukiiwasha fridge bila kuizima ndo inatakiwa na ndio inasave energy na itadumu pia, but kuiwasha na kuzima kila wakati ni kuiharibu fridge na haiwezi kudumu na unaua fridge na ndipo inapokula umeme sana kila ukiiwasha tena na tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongereni mkuu, mwaka 98 mnamiliki friji.....πππNimekumbuka friji la home toka mwaka 1998 na bado linadunda tu ukiwasha dakika 20 nyingi baridi mwaaaa na kuganda kabisa
RRONDO naomba unisaide hapa,,langu nimetoa kila kitu maana nilikuwa naona umeme unakata tu sasa limebaki kama kabatiπ πKuiharibu kwa kuzima na kuwasha?; Sio kweli. Muda mrefu nilikuwa sipiki kwahio friji inajaa maji,juices,jam,butter etc hamna msosi wa kupika. Nilikuwa nazima friji asubuhi nawasha usiku nikirudi Hadi asubuhi tena.
Likiwaka hadi asubuhi nikizima hadi jioni nakuta drinks zote za baridi hasa simply because hamna anaefungua mlango.
Sasa hivi naliwasha masaa 24 natumia umeme zaidi ya nilivyokuwa nazima.
Kama halina kitu lizime. Kuzima na kuwasha hakuharibu friji.RRONDO naomba unisaide hapa,,langu nimetoa kila kitu maana nilikuwa naona umeme unakata tu sasa limebaki kama kabatiπ π
Washa zima haiwezi kuharibu fridge??maan wakati mwingine huwa nakaa mpaka siku tatu hadi nne.ππ
How old are you?!! '98?!! mtaa wa Uhuru Kariakoo umejaa hayo mazagazaga mwanzo mwisho way before '98. Jamani hatuko nyuma kiasi hiki.Hongereni mkuu, mwaka 98 mnamiliki friji.....πππ
Niliache wazi au nilifunge??maana tangu nimeanza hii zima washa kuna kaharufu nakasikiaKama halina kitu lizime. Kuzima na kuwasha hakuharibu friji.
π π π π π πHow old are you?!! '98?!! mtaa wa Uhuru Kariakoo umejaa hayo mazagazaga mwanzo mwisho way before '98. Jamani hatuko nyuma kiasi hiki.
Lifunge tu, kale kaharufu ka friji lisilotumika nakajuaNiliache wazi au nilifunge??maana tangu nimeanza hii zima washa kuna kaharufu nakasikia