Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Jaza fridge vitu halafu fanya monitoring ya umeme halafu toa vitu vyote washa kisha fanya monitoring utaniambia
Jr[emoji769]
Mmmmmh
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmh
Ukiandika kwa mtindo wa masaa 24 usiweke pm au am, hizo zinatumika kwa mtindo wa masaa 12. Kwa mfano ungeandika tu 1800, hiyo ni saa 12 jioni ambayo ni sawa na 6:00 pm. Ndio maana kuna mdau kakunanga hapo juu badala ya kukueleza tu kiungwanaMm nawasha saa1800pm mpaka 0800am natumia unit 1 ikiwaka 24hrs inatumia unit1 na kidogo
ni kweli nilinunua sumsung ilikuwa inaenda vizuri na inatumia umeme vizuri lakini iliharibika fan mwaka jana fundi aliporekebisha sijui nini kilitokea liaanza kula umeme kama mashine ya kusaga nimeamua kuliachafriji za kuanzia mwaka 2016 na kuja juu zenye inverterd Compresor azili umeme kabisa, watanzania wengi tunatumia used friji zenye zaidi ya miaka 10 toka UK na hizi zenye compresor za kawaida n.k hizi zinakula sana umeme, bora ununue friji kwa 1Millions na utumie units 200 mwaka mzima kuliko nunua friji laki tatu mpaka sita na kutumia umeme units 12000 kwa mwaka. baada ya hii misuko suko ya corona tutaanza uza convertion kits za inverted compresors kwa wenye friji mitumba na hizi zenye compresors za kawaida! na sio friji ata wenye magest houz wanapata garama sana kulipia AC zinazobugia units za luku kama ngombe mwenye kiu ya maji
We jamaa umenichekesha sana eti fridge lina maji ka swimming pool, na kama haitoshi unaenda kwa bwanshee kununua barafu. Hakika tutanyooka sio mchezo.Fridge lina maji tuu kama swimming pool.
Kusave unit siwashi nanunua barafu kwa mangi shiling mia kupozea maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Oky leeApooo sawa
Asantee
Kama kuna ukweli lakinJaza fridge vitu halafu fanya monitoring ya umeme halafu toa vitu vyote washa kisha fanya monitoring utaniambia
Jr[emoji769]
Kwa mita ya kushare inakuwa ngumu.ila kwa mita yako pekeako pengine kutokuzima ni bora zaidiUnakaa kwenye jumba lako au jumba la kupanga ?
Swala la kuzima fridge kiukweli hapana kabisa, zima washa zima washa! Unapowasha umeme unatumika mwingi sana kuliko ukiacha liwake.. Mie sizimi ng'ooo ! Labda umeme ukatike wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank uUkiandika kwa mtindo wa masaa 24 usiweke pm au am, hizo zinatumika kwa mtindo wa masaa 12. Kwa mfano ungeandika tu 1800, hiyo ni saa 12 jioni ambayo ni sawa na 6:00 pm. Ndio maana kuna mdau kakunanga hapo juu badala ya kukueleza tu kiungwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Is this opinion or technical fact?Kadiri friji inavyopungukiwa vitu ndivyo inavyokula umeme
Jr[emoji769]
Nyumba za kupanga uswahili zina changamotoKwa mita ya kushare inakuwa ngumu.ila kwa mita yako pekeako pengine kutokuzima ni bora zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu samsung.. mimi na tecno langu nakwama wapi kununua ile lg nayoitamani [emoji22][emoji22]Wakati unanunua unasoma specification za fridge mm natumia samsung subiri nitakusomea inakula unit ngapi kwa mwaka
Kuna nyumba nilipanga aisee nikawa najifichaga mana ukionekana unadaiwa umeme.hahahNyumba za kupanga uswahili zina changamoto
[emoji23]hahahahahaha ach utani basi na wwKila kitu samsung.. mimi na tecno langu nakwama wapi kununua ile lg nayoitamani [emoji22][emoji22]
..
mimi naliwasha saa sita usiku hadi saa sita to saba mchana, hapo vinywaji vya wateja wangu havitopoa [emoji4]
Si kweli otherwise utoe scientific justification..mm navyofaham fridge likielemewa ndo linakula zaidi umeme kwani kitakua linanguruma bila kupumzikaKadiri friji inavyopungukiwa vitu ndivyo inavyokula umeme
Jr[emoji769]
[emoji23]hahahahahaha ach utani basi na ww