Wale tusiompenda Kocha Amunike, Kikosi chake alichokichagua na tunaoiombea mabaya Taifa Stars ili ifungwe tujuane tafadhali

watu mnakazania kichuya ww ndiyo kichuya utakuwa
 
Hata mimi mkuu ndugu yangu
 
***** alafu jitu linatupangia FEY TOTO sijui sista FEY [emoji2]
 
ungebainisha kwanza ubovu wa kikosi alichokichagua kisha utoe na mapendekezo yako. Nijuavyo mimi kikosi hakichaguliwi na coach peke yake bali bechi lote la ufundi sasa kumtupia lawama coach peke yake haileti maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…